Sambaza Maarifa

Sambaza Maarifa

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,113
Reaction score
65,124
Leo najisikia amani sana tu. Nataka kusambaza upendo.
Sasa kwa wale wanasheria wanaosoma vyuoni, au wanapenda kujisomea.
Nataka kugawa vitabu vya sheria vya Cambridge. Vipya vya mwaka 2012-2016

Sharti kuu,
Ukipata kitabu au notes leta hapa watu waweze kusoma kirahisi.
Usichapishe, ila soma wewe binafsi. That's fair dealing.

Nitarudi punde!
 
Leo najisikia amani sana tu. Nataka kusambaza upendo.
Sasa kwa wale wanasheria wanaosoma vyuoni, au wanapenda kujisomea.
Nataka kugawa vitabu vya sheria vya Cambridge. Vipya vya mwaka 2012-2016

Sharti kuu,
Ukipata kitabu au notes leta hapa watu waweze kusoma kirahisi.
Usichapishe, ila soma wewe binafsi. That's fair dealing.

Nitarudi punde!
Unarudi lini mkuu??
 
Au kuna kingine tofauti na cha teng?? Then kama vitabu vingine vya CONVEYANCE vya Tanzania unaeza nitumia brother!
 
Back
Top Bottom