WERA WERAAAAAAAAAAAA! Ngoma inogile, hapa nimetoka kumfukuza mtu bungeni na pia kumvukuza mtu kazi kama vile alivotishia kunifukuza kazi kama.
Inatia raha saaaaaaaaana hasa kuona hapa Gonja, vijana wamejitokeza kwa wingi. Kila mmoja akionyesha kukasirika ile mbaya kwa ishara ya kwenda kuuwa watu na chama chao. Haki ya nane hakuna cha sijui PATACHIMBIKA wala nini. Kwa uhakika Mpaka sasa hivi mama wa PATACHIMBIKA chaliiiii!
PEOPE'S POWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEER!
aloo evava teta ki uko..WERA WERAAAAAAAAAAAA! Ngoma inogile, hapa nimetoka kumfukuza mtu bungeni na pia kumvukuza mtu kazi kama vile alivotishia kunifukuza kazi kama.
Inatia raha saaaaaaaaana hasa kuona hapa Gonja, vijana wamejitokeza kwa wingi. Kila mmoja akionyesha kukasirika ile mbaya kwa ishara ya kwenda kuuwa watu na chama chao. Haki ya nane hakuna cha sijui PATACHIMBIKA wala nini. Kwa uhakika Mpaka sasa hivi mama wa PATACHIMBIKA chaliiiii!
PEOPE'S POWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEER!
Jamani acheni sound Mama Kilango nae mwataka BP ipande?
We Paka na wenzio, acheni hizoo! Hebu ongeeni lugha ya taifa tuelewe wote...vose..vose..blah blah
Havache vose!...