Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Naona ile idea ya Kizimkazi Festival inazidi kusambaa katika maeneo mbalimbali ya Tanzania.
Baadhi ya wananchi wa Tarafa ya Mwembe Mbaga, Wilaya ya Same, Kilimanjaro, wamejitokeza kushiriki Mwembe Mbaga Samia Day, tukio maalum lililolenga kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.
Tarafa hiyo, yenye kata saba, vijiji 22, na vitongoji 126, licha ya kuwa na rasilimali na utamaduni wa kipekee, inakabiliwa na changamoto za kijamii na kisiasa, hivyo tukio hilo limekuwa jukwaa la kuhamasisha mabadiliko kupitia ushiriki wa kidemokrasia.
=====================================================
Uchawa sasa hivi umetoka Daslaam umeenda mpaka Same. Inasikitisha mno!
Naona ile idea ya Kizimkazi Festival inazidi kusambaa katika maeneo mbalimbali ya Tanzania.
Baadhi ya wananchi wa Tarafa ya Mwembe Mbaga, Wilaya ya Same, Kilimanjaro, wamejitokeza kushiriki Mwembe Mbaga Samia Day, tukio maalum lililolenga kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.
Tarafa hiyo, yenye kata saba, vijiji 22, na vitongoji 126, licha ya kuwa na rasilimali na utamaduni wa kipekee, inakabiliwa na changamoto za kijamii na kisiasa, hivyo tukio hilo limekuwa jukwaa la kuhamasisha mabadiliko kupitia ushiriki wa kidemokrasia.
=====================================================
Uchawa sasa hivi umetoka Daslaam umeenda mpaka Same. Inasikitisha mno!