Samehe na sahau ni tiba kwa afya yako

Samehe na sahau ni tiba kwa afya yako

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Wengi wame na bado wana umizwa na suala zima la mahusiano,,,hivyo basi yahitaji neema ya mnyaaz'mngu ufanikiwe kusamehe na kusahau ili maisha yaendelee .........haijalishi umo ndoani au umo upwekeni.....
Bila kusamehe na kusahau hupelekea muhusika kuugua baadhi ya magonjwa na kupelekea vifo......ikiwa na maana kuishi na maumivu ya ndani kwa ndani ni sumu mbaya sana sana,,,,,,
kwa wewe mwenye access ya kuwa hapa jf upo sehemu sahihi,,,na kupa ruksa kupiga stori macho juu ...kuhusu hili na lile ili kupata kicheko......
MOYO ULIYO CHANGAMKA NI TIBA NA NI AFYA...... 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 :ItalianHands:
 
Nilimpoteza mama yangu sababu ilikuwa ni upweke mwenzie alimkimbia akiwa anaumwa maza akapata mawazo akafriki Baada ya mfupi

Ile kitu namimi kuipata Baada ya kutengana na mwenzangu. Mwenzangu kwasababu ya hali yangu ya uchumi toka hapo nimekua mwenye hasira za Karibu

Depresion kubwa
Wengi wame na bado wana umizwa na suala zima la mahusiano,,,hivyo basi yahitaji neema ya mnyaaz'mngu ufanikiwe kusamehe na kusahau ili maisha yaendelee .........haijalishi umo ndoani au umo upwekeni.....
Bila kusamehe na kusahau hupelekea muhusika kuugua baadhi ya magonjwa na kupelekea vifo......ikiwa na maana kuishi na maumivu ya ndani kwa ndani ni sumu mbaya sana sana,,,,,,
kwa wewe mwenye access ya kuwa hapa jf upo sehemu sahihi,,,na kupa ruksa kupiga stori macho juu ...kuhusu hili ma lile ili kupata kicheko......
MOYO ULIYO CHANGAMKA NI TIBA NA NI AFYA...... 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 :ItalianHands:
 
Nilimpoteza mama yangu sababu ilikuwa ni upweke mwenzie alimkimbia akiwa anaumwa maza akapata mawazo akafriki Baada ya mfupi

Ile kitu namimi kuipata Baada ya kutengana na mwenzangu. Mwenzangu kwasababu ya hali yangu ya uchumi toka hapo nimekua mwenye hasira za Karibu

Depresion kubwa
Pole sana mkuu
Issue yako naona kama imekaa kiroho zaidi,,,,,hasa kwenye mambo ya kurithi kifamilia.....hebu zama kwenye dua na sala kwa imani yako kwa siku kadhaa,,,,halafu ucheki upepo.
 
Pole sana mkuu
Issue yako naona kama imekaa kiroho zaidi,,,,,hasa kwenye mambo ya kurithi kifamilia.....hebu zama kwenye dua na sala kwa imani yako kwa siku kadhaa,,,,halafu ucheki upepo.
Lakini kinachonishangaza mkuu ni yule manzi toka nimeachana sijawah Pata mahusiano ya kudumu. Miaka mitatu imetumia mahusiano zaidi ya kumi

"Alinitamkiaga utapata mwanamke kama mimi" kila mahusiano niliyoingia hayakudumu
 
Kwanini watu kusamehe inakuwa shida:

1. Kujiona wao ni wenye haki, yaani wao hawakosei, hii ni shida

2. Kupima ukubwa wa kosa, na kuona kosa hilo halisameheki

3. kuwa na hasira zinazosababisha uchungu ndani ya mtu.

4. kukumbuka yaliyopita, yaani ulitendewa mwaka jana mpaka leo unaendelea kukumbuka.

Mhubiri 7:9

[9]Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.
Mhubiri 7:16

[16]Usiwe na haki kupita kiasi;
Wala usijiongezee hekima mno;
Kwani kujiangamiza mwenyewe?

Mhubiri 7:21-22

[21]Tena, usitie moyoni mwako maneno yote yaliyosemwa; usije ukamsikia mtumwa wako mwenyewe ali anakutukana.

[22]Kwa kuwa mara nyingi moyo wako pia unajua ya kwamba wewe mwenyewe umewatukana watu wengine.

Isaya 43:18
[18]Msiyakumbuke mambo ya kwanza, wala msiyatafakari mambo ya zamani.
 
Wengi wame na bado wana umizwa na suala zima la mahusiano,,,hivyo basi yahitaji neema ya mnyaaz'mngu ufanikiwe kusamehe na kusahau ili maisha yaendelee .........haijalishi umo ndoani au umo upwekeni.....
Bila kusamehe na kusahau hupelekea muhusika kuugua baadhi ya magonjwa na kupelekea vifo......ikiwa na maana kuishi na maumivu ya ndani kwa ndani ni sumu mbaya sana sana,,,,,,
kwa wewe mwenye access ya kuwa hapa jf upo sehemu sahihi,,,na kupa ruksa kupiga stori macho juu ...kuhusu hili na lile ili kupata kicheko......
MOYO ULIYO CHANGAMKA NI TIBA NA NI AFYA...... 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 :ItalianHands:
Kusamehe nakubal ila happy kwenye "kusahau" 😆 ni uongo labda useme design unapotezea ila kusahau aaah Mzee tunadanganyana 😂😂
Wengi wame na bado wana umizwa na suala zima la mahusiano,,,hivyo basi yahitaji neema ya mnyaaz'mngu ufanikiwe kusamehe na kusahau ili maisha yaendelee .........haijalishi umo ndoani au umo upwekeni.....
Bila kusamehe na kusahau hupelekea muhusika kuugua baadhi ya magonjwa na kupelekea vifo......ikiwa na maana kuishi na maumivu ya ndani kwa ndani ni sumu mbaya sana sana,,,,,,
kwa wewe mwenye access ya kuwa hapa jf upo sehemu sahihi,,,na kupa ruksa kupiga stori macho juu ...kuhusu hili na lile ili kupata kicheko......
MOYO ULIYO CHANGAMKA NI TIBA NA NI AFYA...... 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 :ItalianHands:
Kusamehe nakubal ila hapo kwenye "kusahau" 😆 tunadanganyana labda useme as if Kama unapotezea flani hiv lakini et kusahau mazima 😂😂 oii n uongo painful memories survive than good memories.
 
Lakini kinachonishangaza mkuu ni yule manzi toka nimeachana sijawah Pata mahusiano ya kudumu. Miaka mitatu imetumia mahusiano zaidi ya kumi

"Alinitamkiaga utapata mwanamke kama mimi" kila mahusiano niliyoingia hayakudumu
Huyo atakua mshirikina, alikufanyia agano baya. Kuna rafiki yangu alipitia changamoto kama yako kwa miaka 20, mwaka jana ndo kabahatika kuoa, baada ya kufanikiwa kulivunja agano hilo.
 
Lakini kinachonishangaza mkuu ni yule manzi toka nimeachana sijawah Pata mahusiano ya kudumu. Miaka mitatu imetumia mahusiano zaidi ya kumi

"Alinitamkiaga utapata mwanamke kama mimi" kila mahusiano niliyoingia hayakudumu
KAtaa hiyo roho kwa imani.
 
Camscanner_1731417147093.jpg
 
Samehe,ni ngumu lakini inawezekana,inaweza kuwa ni roho ya kurithi,ila ukiamua kumuomba Mungu kwa kumaanisha ili akuepushe nayo inatoka,na utakuwa salama...
 
Back
Top Bottom