Samia amefanikiwa kuibrand Tanzania. Ila bado tunahitaji Katiba Mpya

Samia amefanikiwa kuibrand Tanzania. Ila bado tunahitaji Katiba Mpya

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Natembea sana nje ya Tanzania. Natembea sana ndani ya Tanzania. Najua dunia inaenda wapi na inahitaji vitu gani kwa sasa!

Kwa maeneo mengi ya nje ya Tanzania niliyotembelea, Tanzania inasemwa vizuri saivi, hali ya kuvutia uwekezaji wa ndani na nje inasemwa kuwa nzuri sana!

Hata Dar ambapo ndo kitovu cha uchumi wa nchi, saivi tunaona miradi mingi ikifufuka. Ujenzi wa shopping malls unaendelea vizuri, njia ya Rose Garden, Kawe Housing Project, Morocco Square, Kijitonyama Road unaona project kubwa za ujenzi zikiendelea. Project hizi zinaonesha uhai kwenye ukuaji wa uchumi kwa sababu zinahusisha sekta binafsi na sekta ya umma tofauti na Dodoma ambapo miradi mingi ya ujenzi wa miradi inafanywa na Serikali tu.

Pamoja na haya yote kuna changamoto kubwa naiona mbeleni kwa Tanzania, nayo ni wanasiasa kuwa na nguvu kuliko mifumo ya nchi. Tatizo hili linatifanya tusiwe na uhakika wa kasi ya ukuaji wa uchumi kwa muda wote. Pia inafanya mifumo kufanya kazi kwa kuangalia mtu na sio mifumo yenyewe.

Mapungufu ya Samia yanaweza kurekebishwa na mifumo imara. Na mifumo imara ya kikatiba ndicho kitu pekee kitakachotuwezesha kupata maendeleo ya uhakika kwa muda mrefu bila kuwa na hofu yeyote au uharibifu wowote.

Napenda kumaliza kwa kusema. Bado tunahitaji Katiba Mpya ambayo ni bora ili kutuhakikishia tunakuwa na mifumo imara itakayosimamia viongozi wetu vizuri na kutuhakikishia maendeleo wakati wote.
 
Kuibrandi wapi? Hatuwezu Fikia Kenya kwa Brand, Ruto anawaza kwa sasa kuwapatoa vijana Passport wakatafue maisha huko DUniani, ilihali Tanzania Passport ni ngumu sawa na kuomba kumiliki Bomu la atomic.

Hakuna cha Brand
 
Natembea sana nje ya Tanzania. Natembea sana ndani ya Tanzania. Najua dunia inaenda wapi na inahitaji vitu gani kwa sasa!

Kwa maeneo mengi ya nje ya Tanzania niliyotembelea, Tanzania inasemwa vizuri saivi, hali ya kuvutia uwekezaji wa ndani na nje inasemwa kuwa nzuri sana!

Hata Dar ambapo ndo kitovu cha uchumi wa nchi, saivi tunaona miradi mingi ikifufuka. Ujenzi wa shopping malls unaendelea vizuri, njia ya Rose Garden, Kawe Housing Project, Morocco Square, Kijitonyama Road unaona project kubwa za ujenzi zikiendelea. Project hizi zinaonesha uhai kwenye ukuaji wa uchumi kwa sababu zinahusisha sekta binafsi na sekta ya umma tofauti na Dodoma ambapo miradi mingi ya ujenzi wa miradi inafanywa na Serikali tu.

Pamoja na haya yote kuna changamoto kubwa naiona mbeleni kwa Tanzania, nayo ni wanasiasa kuwa na nguvu kuliko mifumo ya nchi. Tatizo hili linatifanya tusiwe na uhakika wa kasi ya ukuaji wa uchumi kwa muda wote. Pia inafanya mifumo kufanya kazi kwa kuangalia mtu na sio mifumo yenyewe.

Mapungufu ya Samia yanaweza kurekebishwa na mifumo imara. Na mifumo imara ya kikatiba ndicho kitu pekee kitakachotuwezesha kupata maendeleo ya uhakika kwa muda mrefu bila kuwa na hofu yeyote au uharibifu wowote.

Napenda kumaliza kwa kusema. Bado tunahitaji Katiba Mpya ambayo ni bora ili kutuhakikishia tunakuwa na mifumo imara itakayosimamia viongozi wetu vizuri na kutuhakikishia maendeleo wakati wote.
Uamuzi wa kuchimba madini mbugani Serengeti utaharibu branding yote aliyofanya.
 
Naunga mkono HOJA 🙏

Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi ni sasa kabla ya Uchaguzi wowote.
 
Natembea sana nje ya Tanzania. Natembea sana ndani ya Tanzania. Najua dunia inaenda wapi na inahitaji vitu gani kwa sasa!

Kwa maeneo mengi ya nje ya Tanzania niliyotembelea, Tanzania inasemwa vizuri saivi, hali ya kuvutia uwekezaji wa ndani na nje inasemwa kuwa nzuri sana!

Hata Dar ambapo ndo kitovu cha uchumi wa nchi, saivi tunaona miradi mingi ikifufuka. Ujenzi wa shopping malls unaendelea vizuri, njia ya Rose Garden, Kawe Housing Project, Morocco Square, Kijitonyama Road unaona project kubwa za ujenzi zikiendelea. Project hizi zinaonesha uhai kwenye ukuaji wa uchumi kwa sababu zinahusisha sekta binafsi na sekta ya umma tofauti na Dodoma ambapo miradi mingi ya ujenzi wa miradi inafanywa na Serikali tu.

Pamoja na haya yote kuna changamoto kubwa naiona mbeleni kwa Tanzania, nayo ni wanasiasa kuwa na nguvu kuliko mifumo ya nchi. Tatizo hili linatifanya tusiwe na uhakika wa kasi ya ukuaji wa uchumi kwa muda wote. Pia inafanya mifumo kufanya kazi kwa kuangalia mtu na sio mifumo yenyewe.

Mapungufu ya Samia yanaweza kurekebishwa na mifumo imara. Na mifumo imara ya kikatiba ndicho kitu pekee kitakachotuwezesha kupata maendeleo ya uhakika kwa muda mrefu bila kuwa na hofu yeyote au uharibifu wowote.

Napenda kumaliza kwa kusema. Bado tunahitaji Katiba Mpya ambayo ni bora ili kutuhakikishia tunakuwa na mifumo imara itakayosimamia viongozi wetu vizuri na kutuhakikishia maendeleo wakati wote.
Mwalimu Nyerere aliisha itangaza Tanzania na tulikuwa kwenye mikutano ya kimataifa wanasubiri kutoka Afrika Tanzania itasema nini.Shida ilianzia kwa Kikwete kuleta uhuni serikalini na mpaka leo tumefika hapa,ingawa wengi wana mlaumu Magufuli lakini na yeye ni zao la mfumo wa ovyo wa Kikwete!
Samia anapambwa tu,uwajibikaji kwenye serikali yake ni sifuri,mwambieni adhibiti rushwa na ufisadi serikalini alafu pia atuondolee yule Mnyaturu pale Wizara ya fedha maana kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru Mabalozi kutoka nchi wahisani na wawekezaji wakubwa wamelalamikia namna serikali inavyoshughulikia masuala ya Kodi!
 
Ha ha ha ha, baada ya kumtoa January naona kwa mbaaali unaanza kumtia pin Mother!
 
Samia ameibrand Tanzania kwa kuuza:-
1. Bandari.
2. Loliondo.
3. Ngorongoro.
4. KIA.
5. Madini ya kwenye hifadhi.
 
Anywhere in the World anayeibrand image ya nchi kimataifa ni Rais. Ndo mana unaona leo kuna Wamarekani wanaamini Trump anaweza ku neutralise tension iliyopo between Marekani na mahasimu wake Urusi na China na kumaliza vita ya Ukraine.

Kwa nchi yetu ilipofikiaga ukweli ni kuwa Samia amejitahidi kuiweka nchi kwenye heshima na hadhi fulani kimataifa ambayo inaleta confidence kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.

Shida tuliyonayo ni inconsistency as hatuna uhakika kama same image itaendelea kuwepo baada ya yeye Samia kuondoka. Hapo ndo tunahitaji Katiba Bora yenye mifumo inayolindwa na Katiba yenyewe ambayo itaweza kumzuia hata Samia mwenyewe akitaka kufanya mambo ambayo ni tofauti na maslahi mapana na taifa na wananchi wake.

Ripoti nyingi kuhusu hali ya uwekezaji na uchumi inailalamikia sana nchi yetu kuwa na sera ambazo ni unpredictable ambazo zinaathiri sana flow ya uimara wa uwekezaji wa ndani na nje nchini.
Nchi hii inaheshimika kitambo! Acha ujinga kaibrand labda kuuza Bandari na kuhamisha wa Masai Ngorongoro!
Kuzurula hovyo ndo kubrand nchi? Yaani Mitanzania bado mijinga sana kubrand nchi ni kukopa mikopo hovyohovyo na ufanyia fedha zake ufisadi!
 
Back
Top Bottom