Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Rais Samia ametangaza kuchangia Milioni 20 Ujenzi wa kanisani la Feel Free Church la Mchekeshaji Masanja Mkandamizaji.
Soma pia: Rais Samia Achangia Milioni 100 katika Ujenzi wa Kanisa la AICT
Samia ametangaza mchango wake huo kupitia akaunti yake ya X
Rais Samia ametangaza kuchangia Milioni 20 Ujenzi wa kanisani la Feel Free Church la Mchekeshaji Masanja Mkandamizaji.
Soma pia: Rais Samia Achangia Milioni 100 katika Ujenzi wa Kanisa la AICT
Samia ametangaza mchango wake huo kupitia akaunti yake ya X