Samia mitano tena, Mbowe mitano tena hakika Tanzania itafanya maajabu kwenye Uchumi Ukanda Mzima wa Africa Lissu hapana.

Samia mitano tena, Mbowe mitano tena hakika Tanzania itafanya maajabu kwenye Uchumi Ukanda Mzima wa Africa Lissu hapana.

Newforce

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2024
Posts
430
Reaction score
708
IMG-20241216-WA0061(1).jpg

Mbowe na Samia ni Viongozi wa mfano sana kwa Taifa hili,

Nashauri CHADEMA wamchague tena Mwenyekiti Freeman Mbowe na sisi CCM tutamchagua tena Dkt Samia Suluhu Hassan.

Wawili hawa wanafaa sana kuliendesha Taifa letu kwa amani na Upendo,

Hii chemistry ya Mkt Mbowe na Mkt Samia ni yamanufaa sana kwa Taifa

Mungu ibariki Tanzania,
Mungu mbariki Rais Samia
Mungu mbariki Mwenyekiti Mbowe
 
Mnamtaka mbowe wa maridhiano? Subirini uchaguzi mtampata tu halafu tusisikie mnasema amekaa muda mrefu madarakani
 
View attachment 3178102
Mbowe na Samia ni Viongozi wa mfano sana kwa Taifa hili,

Nashauri CHADEMA wamchague tena Mwenyekiti Freeman Mbowe na sisi CCM tutamchagua tena Dkt Samia Suluhu Hassan.

Wawili hawa wanafaa sana kuliendesha Taifa letu kwa amani na Upendo,

Hii chemistry ya Mkt Mbowe na Mkt Samia ni yamanufaa sana kwa Taifa

Mungu ibariki Tanzania,
Mungu mbariki Rais Samia
Mungu mbariki Mwenyekiti Mbowe

Samia katutia aibu tu. Yaani unaweka picha ambazo ndizo zimemletea Mbowe shida kumuamini huyu Mama tapeli
 
View attachment 3178102
Mbowe na Samia ni Viongozi wa mfano sana kwa Taifa hili,

Nashauri CHADEMA wamchague tena Mwenyekiti Freeman Mbowe na sisi CCM tutamchagua tena Dkt Samia Suluhu Hassan.

Wawili hawa wanafaa sana kuliendesha Taifa letu kwa amani na Upendo,

Hii chemistry ya Mkt Mbowe na Mkt Samia ni yamanufaa sana kwa Taifa

Mungu ibariki Tanzania,
Mungu mbariki Rais Samia
Mungu mbariki Mwenyekiti Mbowe
Safi sana
 
Ndio, baadhi ya wajinga wanataka Lissu kwa sababu kaahidi kuleta vita na machafuko Tanzania
 
Back
Top Bottom