Kiranja wa jamii
JF-Expert Member
- Jan 2, 2023
- 441
- 1,065
Wengi hatufurahishwi na kinachoendelea nchini kwasasa. Utekaji na mauaji kwa watu wasio na madhara kwa serikali ni uonevu na kujiabisha kama nchi. Hili lazima lidhibitiwe
Huenda yanayosemwa ni kweli kwamba nchi nyingi duniani zinautaratibu wa namna ya kushughurika na watu ambao ni threat kwa serikali.
Tuseme ni kweli halafu tujiulize hivi hawa wanaotajwa kina Soka, hao kina Sativa, yule mshikaji aliyechoma picha ya Rais na wengine wanaosemwa semwa kweli ni tishio kwa usalama wa nchi??
Nikaanza kujiuliza, hivi hawa watu wana hata uwezo wa kutishia maisha ya mwenyekiti wa mtaa? Wanaweza kumfanya afisa mtendaji ashindwe kutimiza majukumu yake kweli? Sasa wanakuwaje threat kwa nchi?
Wanamiliki vikosi msituni? Wanawafuasi mtaani waliokunywa maji ya bendera zao? Wanaendesha mafunzo ya kupigana na serikali? au ni hii hii ya kupost post mtandaoni tu?
Any way, tuachane na hayo turudi kwenye mada. CHADEMA wamekuwa na kampeni nyingi mtaani ambazo ki uhalisia matunda yake ni kidogo sana
Hii haimaanishi kuwa wananchi wengi wanakubaliana na serikali, la hasha! Kilichopo ni kwamba wananchi wanapelekwa kwenye maandamano halafu hali inabaki vile vile na maisha yanasonga. Hii inachosha
CHADEMA imeshindwa kufanya ubunifu wa kuteka hisia za wananchi na kuwaingiza kwenye mfumo wanaoutaka.
Maandamano yalishadhihirika kuwa sio utamaduni wa watanzania na serikali haiogopi hayo maandamano kwasababu wanaoandamana hawaathiri shughuli za serikali.
Serikali haiwezi kutetemeshwa na waandamanaji wasio na ajira!
Waandamanaji wanapokuwa barabarani, wagonjwa hospitalini wanaendelea na matibabu, shuleni walimu wanafundisha, ofisini zote shughuli zinaendelea kama kawaida. Sasa hapa serikali itatetemeka kwa lipi?
Soma Pia:
Itakuwa ajabu polisi wakileta mbwembwe zao za taarifa za kiitelijensia kuzuia maandamano ambayo agenda yake imekwisha feli hata kabla ya maandamano yenyewe kufanyika.
Kwanini nasema yamekwisha feli?
Hivi "Samia "asipo go" nini kitafanyika? Hata hao wenyewe wanaosema "Samia must go" hawaamini kwamba "Samia ata go". Sasa kwanini uje na kitu unachoamini hakitekelezeki?
Ili kuleta impact, inabidi wabuni namna nyingine ya kuendesha kampeni zao vinginevyo hii ya "Samia must go" ni mwendelezo wa kufeli kabla ya kutekelezwa
Huenda yanayosemwa ni kweli kwamba nchi nyingi duniani zinautaratibu wa namna ya kushughurika na watu ambao ni threat kwa serikali.
Tuseme ni kweli halafu tujiulize hivi hawa wanaotajwa kina Soka, hao kina Sativa, yule mshikaji aliyechoma picha ya Rais na wengine wanaosemwa semwa kweli ni tishio kwa usalama wa nchi??
Nikaanza kujiuliza, hivi hawa watu wana hata uwezo wa kutishia maisha ya mwenyekiti wa mtaa? Wanaweza kumfanya afisa mtendaji ashindwe kutimiza majukumu yake kweli? Sasa wanakuwaje threat kwa nchi?
Wanamiliki vikosi msituni? Wanawafuasi mtaani waliokunywa maji ya bendera zao? Wanaendesha mafunzo ya kupigana na serikali? au ni hii hii ya kupost post mtandaoni tu?
Any way, tuachane na hayo turudi kwenye mada. CHADEMA wamekuwa na kampeni nyingi mtaani ambazo ki uhalisia matunda yake ni kidogo sana
Hii haimaanishi kuwa wananchi wengi wanakubaliana na serikali, la hasha! Kilichopo ni kwamba wananchi wanapelekwa kwenye maandamano halafu hali inabaki vile vile na maisha yanasonga. Hii inachosha
CHADEMA imeshindwa kufanya ubunifu wa kuteka hisia za wananchi na kuwaingiza kwenye mfumo wanaoutaka.
Maandamano yalishadhihirika kuwa sio utamaduni wa watanzania na serikali haiogopi hayo maandamano kwasababu wanaoandamana hawaathiri shughuli za serikali.
Serikali haiwezi kutetemeshwa na waandamanaji wasio na ajira!
Waandamanaji wanapokuwa barabarani, wagonjwa hospitalini wanaendelea na matibabu, shuleni walimu wanafundisha, ofisini zote shughuli zinaendelea kama kawaida. Sasa hapa serikali itatetemeka kwa lipi?
Soma Pia:
- Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'
- Jeshi la Polisi kuongea na Waandishi wa Habari Septemba 13, 2024 kuhusu tamko la CHADEMA la Septemba 11, 2024
Itakuwa ajabu polisi wakileta mbwembwe zao za taarifa za kiitelijensia kuzuia maandamano ambayo agenda yake imekwisha feli hata kabla ya maandamano yenyewe kufanyika.
Kwanini nasema yamekwisha feli?
Hivi "Samia "asipo go" nini kitafanyika? Hata hao wenyewe wanaosema "Samia must go" hawaamini kwamba "Samia ata go". Sasa kwanini uje na kitu unachoamini hakitekelezeki?
Ili kuleta impact, inabidi wabuni namna nyingine ya kuendesha kampeni zao vinginevyo hii ya "Samia must go" ni mwendelezo wa kufeli kabla ya kutekelezwa