Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,345
- 5,718
Hivi ni "for president" au "for presidency"?
Hii lugha sometimes inachanganya.
Acha ntumie kiswahili.Hivi ni "for president" au "for presidency"?
Hii lugha sometimes inachanganya.
CCM itashinda uchaguzi kama kawaida na Mama atendelea kutawala.Tatizo la wengi hawajui wananchi wanafikiri nini awamu hii ila yajayo yanafurahisha
Tunakoelekea CDF anawaangaliaaaaaCCM itashinda uchaguzi kama kawaida na Mama atendelea kutawala.
Kila mtu yuko CCM hadi CDF. Mbowe ana kesi ya ugaidi na tundu lissu alitupwa nje ya inchi. Ni CCM hadi 2035.Tunakoelekea CDF anawaangaliaaaaa
Yaani siku zote akili za CCM ni uchaguzi tu mwanzo mwisho, hawanaga kingine kisha wanachomekea kidogo eti maendeleo, wahuni wakubwa yaani miaka 50+ madarakani bado mnaimba wimbo huo huo?Samia Suluhu for PRESIDENT (2025-2035)
Maono yangu ni kua Mama Samia Suluhu ataongoza chini ya CCM hadi 2035 sababu yeye ni mzanzibar.
Mkishinda Muende mkawanunulie viti Walimu hapo Kibaha, wako 30 na viti viko 11Kila mtu yuko CCM hadi CDF. Mbowe ana kesi ya ugaidi na tundu lissu alitupwa nje ya inchi. Ni CCM hadi 2035.
Ni watanzania sio Mimi mkuu. Wangepigia chama kingine kura CCM haingeshinda.Yaani siku zote akili za CCM ni uchaguzi tu mwanzo mwisho, hawanaga kingine kisha wanachomekea kidogo eti maendeleo, wahuni wakubwa yaani miaka 50+ madarakani bado mnaimba wimbo huo huo?
Ni wa chadema au CCM?Mkishinda Muende mkawanunulie viti Walimu hapo Kibaha, wako 30 na viti viko 11
Na wewe unaamini kabisa CCM walipigiwa kura na wakashinda! Basi tuna safari ndefuNi watanzania sio Mimi mkuu. Wangepigia chama kingine kura CCM haingeshinda.
Waliiba?Na wewe unaamini kabisa CCM walipigiwa kura na wakashinda! Basi tuna safari ndefu
Yaani siku zote akili za CCM ni uchaguzi tu mwanzo mwisho, hawanaga kingine kisha wanachomekea kidogo eti maendeleo, wahuni wakubwa yaani miaka 50+ madarakani bado mnaimba wimbo huo huo?
Aiseee.Tunakoelekea CDF anawaangaliaaaaa
Mkuu hivi unadhani huwa wanajali wananchi wanafikiri nini?Tatizo la wengi hawajui wananchi wanafikiri nini awamu hii ila yajayo yanafurahisha
Anadaiwa pesa nyingi sana na wenye fedha nyingi hivyo inaaminika ni mafisadi.Ndugu zangu watanzania naomba tusikubali kuona Mtanzania mwenzetu SPRIAN MSIBA mtetezi wa taifa letu dhidi ya wadhalimu wa taifa letu, akiteketea peke yake juu ya yaliyomkuta. Naomba kwa pamoja tushikamane kwa kuweza kumchangia kwa chochote kile ili tuweze kumshika mkono mtu huyu. Hiyo tumeona tuweke namba yake hiyo hapo 0655655599 ili kuhakikisha waweza kumchek moja kwa moja yeye mwenyewe pia. Unaweza kutuma pesa kwenye namba hiyo moja kwa moja. Kwa sababu kuwaacha wazalendo kama hawa wakipotea peke yao basi itakuwa ni kama kuwatia uoga wengine ambao watakuwa tayari kutetea wanyonge wengine. Hivyo kwa wale ambao walikuwa waamini wa JPM na hata wasio waamini lakini ni wazalendo wa kweli basi tushirikiane kumchangia mwenzetu kwa haya yaliyompata ili wengine nao wasije kuingia na uoga wa kuweka uzalendo wao mbele kwa kutetea taifa letu. Karibuni sana๐๐ฝ๐๐ฝ