Samia tumaini jipya Tanzania: The Economist baada ya kumsakama sana Magufuli, sasa angalau lina matumaini na Samia, laanza naye vizuri

Marekani uionayo leo kwamba imeendelea sana imekua hivi tuionavyo leo kwasababu ya FED...bila FED isingekua hivi...

Lakini hapohapo kumbuka nilikwambia kwamba kuundwa kwa FED kulikua kinyume na katiba ya Marekani.Nadhani utakua unaelewa namaanisha nini hata kama uwezo wa ubongo wako ni mdogo.

Narudia,katiba ni maandishi tu,binadamu ndio mtendaji.
 
Mkuu nime PM nisaidie mawasiliano yako
 
Kilichofanyika leo bandarini, kilipaswa kufanywa jana. Kwenye bandiko hili nilizungumzia luggages na baggages, nikasema Samia abebe mizigo mema ya Magufuli, aendelee nayo, lakini asibebe mafurushi yake.

Bandari lilikuwa ni moja ya mafurushi hayo, leo ndio Samia amelitua, TRC kuna furushi, ATC kuna furushi, etc, ili Samia aende vizuri, abebe tuu ile mizigo ya JPM inayobebeka, yale mazigo, mafurushi na ma pakacha, yasiyo bebeka, lazima ayabwage, vinginevyo yatamuelemea ama yakamuangusha, ama akaanguka nayo!.

P
 
..jambo lingine linalompoza Mama Samia ni uoga wake kwa nchi za magharibi.
Mkuu JokaKuu , sio uoga bali ni kuzingatia ukweli mchungu kuwa mabeberu ndio wanaoendesha dunia!. JPM alikaza na kuwagomea, nini kilichompata na sasa yuko wapi?.

Hawa jamaa sio mchezo!. Niliwahi kuuliza humu

P
 
Hii ni MTR ya Bandiko hili
Hapa nilimpongeza Rais Samia kwa kuvaa viatu vyake vya size yake na sio kumtumbukiza mguu wake kwenye viatu vya mtangulizi wake.
President Samia umeonyeshwa uwezo kwanza ni kwa kulibwaga hilo zigo ulilolikuta hapo mlangoni kwako Ikulu. Pia asante kutuletea a real diplomat pale MFA na sio yule Mwalimu wangu Orator mzuri tuu, pale hapahitaji oration ni diplomacy.
Hapa pia alianza vizuri na a real experienced diplomat sijui nini kilitokea njiani, akamtoa, hatukuambiwa kosa lake lolote, na mpaka leo hatujui, ila akamleta yule Mama wa SADC, aka flop, sasa tuna kijana shababi pale!.
Mtihani huu wa Corona, Rais Samia amepasi 100% kwa 100% with flying colours.
Ukimsifu Rais Samia, unaonekana chawa wa Mama, huo ni uthibitisho wa baadhi ya sifa za Rais Samia ni sifa zake mwenyewe na hivyo ndivyo alivyo natural, yaani ni nature yake, ila sasa anaanza kubadilika mdogo mdogo, powers corrupt!, mtu mwenye sifa kama hizo za Rais Samia nilizo ziorodhesha hapo, haiwezekani leo aje atamke maneno kama haya Mama, I'm here to support you, to serve our country. I'm here sio tu kuonesha ujuzi wangu kwa nchi yangu, bali pia kuutumia. But... au Kauli ya Rais kwa waandishi 'Wapara' kuwa wakimpara "Atawaparua", Je Rais Samia ni katili?, Soma Jinsi ya kuwabaini makatili!. Ni kutumia macho tu!. hizi kitu lazima aachane nazo zina bad karma!.
We don't question God's authority at all!, lakini serikali yetu ilikuwa na wajibu wa kutupatia taarifa, keep us informed kuhusu hali ya afya ya rais wetu kuwa rais wetu ni mgonjwa, tuna watu wana powerful prayer powers wangeweza kumuombea akapona!, kuna watu wana powers hadi za kufufua, wangeambiwa on time, you never know labda wangemfufua!.
Kuna wengi tumesema sana kuhusu kitu kinachoitwa karma, kwa Rais Magufuli, hakusikia, na sasa tunakisema kwa Rais Samia, sijui kama Rais Samia anasikia, ila kwa vile Samia ni mwema wa asili, ukiwa mwema, ukiwaza mema, ukitenda mema na ukitenda haki, hakuna adhabu ya karma kwa mtu kama huyu!
Ni kweli kauli huumba.
Awamu hii ya Rais Samia, anawatu wazuri zaidi kwenye Kurugenzi yake ya Mawasiliano, na Idara ya Habari Maelezo, kutokana na usafi wa Rais Samia, uongo na uzushi ni mdogo na ukitokea unakanushwa fasta.
Tunapoelekea mwisho wa mwaka, huku tukielekea mwaka wa uchaguzi, nafanya mapitio ya baadhi ya mabandiko yangu kumhusu Rais Samia na kumfanyia MTR, ya tathmini ndogo ya political expectations zangu na awamu hii ya Rais Samia, nili expect nini, nini kimefanyika, nini bado hakijafanyika, na nini kinaweza kufanyika kabla ya 2025 ili Watanzania tufanye Uchaguzi Mkuu huru na wa haki unaosimamiwa na Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi. Ili kutuwezesha Watanzania tukafanya uchaguzi Mkuu huru na wa haki.
Mungu ibariki Tanzania
Paskali
 
Kumbe hawa jamaa kutusema vibaya walianza zamani toka enzi za Mwinyi Ni kweli. Hawa The Economist ni media ya kibeberu, siku zote wanatusema vibaya na walimwandama sana Magufuli, ila Samia walimfagilia. Samia tumaini jipya Tanzania: The Economist baada ya kumsakama sana Magufuli, sasa angalau lina matumaini na Samia, laanza naye vizuri na hapa TZ Trends & Analysis: Hoja 30 za The Economist Kumhusu President Samia. Kuna za Kweli, za Uongo na Uzushi na Kutaka Kumpangia Watakacho Mabeberu, Jee?

Hata mimi nimemfagilia Mwinyi Buriani Mzee Ruksa!. Ni Deng Xiaoping Wetu wa Mageuzi ya Kiuchumi, Demokrasia, Haki za Binaadam na Uhuru wa Habari. Asante kwa Ruksa Zako, Pumzika!.
P
 
Kuupuuzia mchakato wa katiba mpya ni moja ya sababu, Rais Samia, anapaswa kufanya minimum reforms za katiba ili kuufanya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kuwa ni uchaguzi mkuu huru na wa haki.
P
 
HBD Rais Samia!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…