Kwanini?Ila afanye aondoke Genk
Teh teh tehHongera Serikal ya awamu ya tano kwa goli hili
Amefunga gori uwanja mgumu wa amfried hii ni record ambayo Messi Hajawai iweka na inawezekana Messi akastaafu bila kufunga gori uwanja wa nyumbani wa liverpool pamoja na kuwa kuja pale mara kibao.
Samatta anazidi kuonyesha kwamba ni mchezaji hatari kuwai kutokea kusini mwa jangwa la sahara
Haya maradhi yamekuanza lini? Mbona sina taarifa?Hongera Serikal ya awamu ya tano kwa goli hili
Awamu ya tano ilimsaidia kumpa hata "PASS YA ASSIST" uwanjani ya kufunga goli.Hongera Serikal ya awamu ya tano kwa goli hili
Umesahau kusema ya Rais John Pombe Joseph Magufuli. Maana hata Sheikh Asad alikuwa na Serikali yake ya awamu ya 5 japo imeishia njiani kabla ya mudaHongera Serikal ya awamu ya tano kwa goli hili