Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,057
- 7,611
Samattaapata timu Ulaya (dimba)
Mshambuliaji wa kimataifa waTanzaniaanayekipiga katika klabu yaTP Mazembeya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo, Mbwana Samattaamethibitisha kupata timu ya kwenda kucheza soka Ulaya na kuwa mipango yake inaenda vizuri?
Siwezi kusema mengi, kilichopo ni kuwa mipango inaendelea na kwa jinsi mambo yanavyokwenda sina wasiwasi wa kwenda Ulaya kusaka ulaji mpya, kilichobaki ni kuomba uhai?.
Ajitahidi kuwa mature, si kusaka ulaji, ni kufanya kazi. Aende kwa mentality ya kufanya kazi na ndo maana watu kama Ronaldo na Toure bado wako kweye gemu, kama ni ulaji tayari wanao sema wanaichukulia ni kazi zaidi. Ama mtu kama Framini yuko arsenal si kwa pesa zaidi. Watz tunakosa hiki kitu kwenye vichwa vyetu na ndo maana tunapenda shortcut za fasta.