Sammatta apata timu Ulaya

Kama sio shabiki wa mpira pita tu

Na wewe unajiita shabiki wa mpira kweli!!! Hajib hana mpira wa kuenda kucheza ulaya, hata pale Jangwani hapati namba atapata namba ulaya kwenye timu gani!!!!!?????
 
Na wewe unajiita shabiki wa mpira kweli!!! Hajib hana mpira wa kuenda kucheza ulaya, hata pale Jangwani hapati namba atapata namba ulaya kwenye timu gani!!!!!?????

Sasa jangwani akafanye nini Kwa kile kiwango alicho nacho na ule ufundi.acha ushabiki maandazi wewe
 
Sasa jangwani akafanye nini Kwa kile kiwango alicho nacho na ule ufundi.acha ushabiki maandazi wewe

Huo ufundi pale Yanga anacheza namba ya nani!!! Labda ww kwa mtazamo wako pale mbele Hajib anamtoa nani!!!!
Ww ndo una ushabiki Maandazi, ila kiukwel Hajib bado sana kufikiria kucheza ulaya. Kiwango chake ni cha kawaida sana.
 
Huo ufundi pale Yanga anacheza namba ya nani!!! Labda ww kwa mtazamo wako pale mbele Hajib anamtoa nani!!!!
Ww ndo una ushabiki Maandazi, ila kiukwel Hajib bado sana kufikiria kucheza ulaya. Kiwango chake ni cha kawaida sana.

Hivi wewe huwa unaangalia mpira wa bongo au unausoma kwenye magazeti
 
Hivi wewe huwa unaangalia mpira wa bongo au unausoma kwenye magazeti

Niambie Kwanza pale Jangwani atachukua namba ya nani!!! Niambie kwanza halafu nikujibu swali lako, kama naangalia mpira au lah!!!
 
Niambie Kwanza pale Jangwani atachukua namba ya nani!!! Niambie kwanza halafu nikujibu swali lako, kama naangalia mpira au lah!!!

Hivi unajuwa ajib anacheza nafasi gani
 
Niambie Kwanza pale Jangwani atachukua namba ya nani!!! Niambie kwanza halafu nikujibu swali lako, kama naangalia mpira au lah!!!

hahahaha wewe jamaa kweli ni kiazi wa kutupwa hivi hiyo yanga ya jangwani na TP MAZEMBE ipi ipo juu??

hawezi kuja kucheza yanga kwa kuwa kiwango chake hakiruhusu kucheza yanga.
 
hahahaha wewe jamaa kweli ni kiazi wa kutupwa hivi hiyo yanga ya jangwani na TP MAZEMBE ipi ipo juu??

hawezi kuja kucheza yanga kwa kuwa kiwango chake hakiruhusu kucheza yanga.

Wewe nawe Popoma unatokea wapi!! Tp Mazembe hapa inakujaje!!! Nani ameizungumzia Tp Mazembe! Au Hajib anachezea Tp Mazembe!!!!!
 
Wewe Jamaa kumbe ni sifur kabisa, Nilitaka uniambie Pale Jangwani anamtoa nani mbele Ngoma, Tambwe, Msuva au Kaseke!!!!????

Hao wote uliowataja wanamuweza ajib.we unanisumbua tu Anza kufuatilia mpira alafu uje unaweza ukawa muelewa kidogo
 
kwa ligi kuu ya bongo apa mwenye uwezo wa kucheza ulaya kwa maoni yangu ni tshabalala beki tatu wa simba japo mi ni shabiki wa yanga.[h=1][/h]
 
acha ujinga wako kuchafua watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…