Sample ya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu za kupangisha

Sample ya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu za kupangisha

Candid Scope

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
11,897
Reaction score
6,925
karamoja_house.jpg hydraform-Uganda (5).jpg karamoja_house_with_solar_panel1.jpg

Mpango wa miradi ya ujenzi wa nyumba za kupangisha za gharama nafuu ni vema zikawa ambazo wengi wanaweza kumudu kupanga na ghama wanayoweza kumudu wenye kipato cha kawaida. Binafsi naona nyumba hizi ujenzi wake ni simple na ni za kiwango cha kuvutia.

Mfano kama kiwanja ni cha nusu eka kuna uwezekano wa nyumba kama nne hadi sita za two bedroom, living room na kitchen bila kusahau kuambatanisha showe na toilet. Huo ndio mpango mzima wa kuanza real estate kwa waanzaji.
 
yaap gharama ndo mpango nzima mana yaeza kua ivo ukaambiwa 50mil!!

Bora tujifunze kusimamia wenyewe ujenzi huu kwa kuwatumia mafundi wa kawaida kama vibarua ndio mpango mzima wa kubana matumizi, achana na mafundi wale wavaaji mashati ya mkino mirefu.
 
Bora tujifunze kusimamia wenyewe ujenzi huu kwa kuwatumia mafundi wa kawaida kama vibarua ndio mpango mzima wa kubana matumizi, achana na mafundi wale wavaaji mashati ya mkino mirefu.

Tafadhali saana jitahidi kutumia mafundi wanaojulikana na CRB kuepuka gharama zisizojulikana kutoka kwa mafundi wa kawaida. Ukiwatumia hao nyumba haitakuwa ya gharama nafuu achilia mbali ubora wake!
 
Tafadhali saana jitahidi kutumia mafundi wanaojulikana na CRB kuepuka gharama zisizojulikana kutoka kwa mafundi wa kawaida. Ukiwatumia hao nyumba haitakuwa ya gharama nafuu achilia mbali ubora wake!

Kwa asiye na ufahamu wa ujenzi unavyofanyika afanye hivyo, lakini kwangu mie fundi anatakiwa afutate maelekezo yangu, kuna mafundi wengi tu wahitumu wa vyuo vya ufundi wako mitaani. Kuajiri walio kwenye makampuni au kusajiriwa rasmi kuna ziada ya malipo.

Kinachotakiwa kuwa mwenyewe kufuatilia vifaa na ratio ya mchanganyo hasa wa sementi na mchanga, nk.
 
nimependa hiyo iliyopeke yake

Kwa mwanzaji unaweza kujenga ndogo hivi wakati ukijiandaa kujenga dream house yako, utakapokuwa tayari kujenga dream house yako hii inabaki ya kupangisha na kuongeza nyingine kama tatu hivi ni mtaji mzuri
 
Nyumba kama hii inaweza ikagharimu kiasi gani A to Z? Yaani ujenzi wake wote?
Vigumu kukadiria kwa jumla kwa sababu ya gharama za ujenzi kutofautiana kadiri ya mazingira unayokusudia kujnga. Mfano ujenzi wa Dar utakaribiana na ujenzi katika jiji la Arusha, lakini mikoa mingine inahitilafiana kwa vikubwa, hivyo inategemea wapi unakusudia kujenga na ujenzi wa aina gani kwa ramani kama hii.
 
Back
Top Bottom