Sample za milango mizuri ya mbele

Sample za milango mizuri ya mbele

Nonji

Member
Joined
Nov 22, 2017
Posts
24
Reaction score
8
Habari wajenzi?

Naomba kuona sample za Milango ya chuma ya mbele.
 
Screenshot_20230528-200615~2.jpg
Screenshot_20230528-200512~2.jpg
 
Watu tunakomaa tu JF app japo picha hazifunguki.
Moderator na Maxence Melo mnatuchora tu.
Hili suala limekuwa issue kwenu kulifix au mnafanya makusudi kwa malengo yenu maalum.
Mkuu, hili suala linaendelea kufanyiwa kazi. Kuna baadhi ya picha zinafunguka sasa, nyingine hazifunguki na tunaendelea kutafuta ufumbuzi kamili.

Tunaomba radhi na subira kutoka kwenu wanachama wetu.
 
Mkuu, hili suala linaendelea kufanyiwa kazi. Kuna baadhi ya picha zinafunguka sasa, nyingine hazifunguki na tunaendelea kutafuta ufumbuzi kamili.

Tunaomba radhi na subira kutoka kwenu wanachama wetu.
Hakuna matata mkuu, hilo nimeliona. Tuendelee kuchapa kazi.
 
Watu tunakomaa tu JF app japo picha hazifunguki.
Moderator na Maxence Melo mnatuchora tu.
Hili suala limekuwa issue kwenu kulifix au mnafanya makusudi kwa malengo yenu maalum.
Hata mimi nashangaa sana. Na wamekaa kimya kabisa kama hawajui kama.kuna tatizo. Watuambie kama wamekwama tuwaletee wataalam wa IT wawasaidie.
 
Mkuu, hili suala linaendelea kufanyiwa kazi. Kuna baadhi ya picha zinafunguka sasa, nyingine hazifunguki na tunaendelea kutafuta ufumbuzi kamili.

Tunaomba radhi na subira kutoka kwenu wanachama wetu.
Ni sawa ila limekuwa la muda mrefu. Kama mnakwama mahali si muombe msaada. Sidhani kama kukiri kushindwa kitu ni kuonesha udhaifu. Lazima tukubali kuwa hatujui baadhi ya vitu.
 
Hata mimi nashangaa sana. Na wamekaa kimya kabisa kama hawajui kama.kuna tatizo. Watuambie kama wamekwama tuwaletee wataalam wa IT wawasaidie.
Nahisi wana mpango wa kuichinjia baharini jf app ili watu wakimbilie kwenye jf web.

Siamini kama wamekosa mtaalamu wa kusolve hii issue kwa maana imedumu kwa muda mrefu saaaana.

JF web is too noisy.
 
Nahisi wana mpango wa kuichinjia baharini jf app ili watu wakimbilie kwenye jf web.

Siamini kama wamekosa mtaalamu wa kusolve hii issue kwa maana imedumu kwa muda mrefu saaaana.

JF web is too noisy.
Jf web ndio ile ya kuingilia kwenye browser?
 
Mkuu, hili suala linaendelea kufanyiwa kazi. Kuna baadhi ya picha zinafunguka sasa, nyingine hazifunguki na tunaendelea kutafuta ufumbuzi kamili.

Tunaomba radhi na subira kutoka kwenu wanachama wetu.
Mwamba nimekucheki pm
 
Mkuu, hili suala linaendelea kufanyiwa kazi. Kuna baadhi ya picha zinafunguka sasa, nyingine hazifunguki na tunaendelea kutafuta ufumbuzi kamili.

Tunaomba radhi na subira kutoka kwenu wanachama wetu.

Mkuu, hili suala linaendelea kufanyiwa kazi. Kuna baadhi ya picha zinafunguka sasa, nyingine hazifunguki na tunaendelea kutafuta ufumbuzi kamili.

Tunaomba radhi na subira kutoka kwenu wanachama wetu.
Habar...PM kwangu inashindikana funguka kutuma msg kabisa
 
[emoji445]Hili la picha Mimi nilifikiri cm yangu mbovu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji445][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom