Samsung 12 ni kiboko

Mbona unakua msahaulifu mkuu,
Wewe si ndio ulianza kwa kuita simu takataka?

Mkuu kumbukumbu ni muhimu, hii kitu nilishamaliza huko juu.
Ok let make it clear....mimi sina pesa za kutosha naamini simu bora ni High Enda phones au Flagships za kampuni kubwa za simu hasa SUMSUNG KWANGU ukiniwekea Billion 2 kwa accound nitanunua Hizo tu.

A 12 simu bora kwangu kwa Cashflow yangu
 
Nafikiri hapa mtoa mada ameongelea ubora wa Battery ya simu
Hivyo wachangiaji wangejikita kwa kutoa simu zenye battery inayo kaa muda mrefu, najua zipo za Kichina hadi 6000MaH. Hayo mambo ya specification hajayaongelea; hivyo mnamchanganya
 
Afu eti laki 4 mkuu... Imeniuma kama hela nimetoa mimi 😅😅😅 ashike hata s20 tu
 
Note 10 Ultra ndio simu gani?

Nachelea kusema we ni mweupe kwenye simu.
 
Ok let make it clear....mimi sina pesa za kutosha naamini simu bora ni High Enda phones au Flagships za kampuni kubwa za simu hasa SUMSUNG KWANGU ukiniwekea Billion 2 kwa accound nitanunua Hizo tu.

A 12 simu bora kwangu kwa Cashflow yangu
Ewaa ukizungumzia katika mantiki hiii, now your clear...

Yaani iwe wazi tuu, kumbe mtu unachagua kilicho bora Katika katika daraja lako, na KWAKO kinabaki kua bora hata kama kuna zaidi.
 
kweli ni low end mkuu hata me nakubali. Ilaa kwa wale wenye laki 350 mpaka 400k kina kabwela ni HIGH END PHONE.
Mmeshindwa tu kuelewana na reyzzap
Hakuwa na maana ya kuiponda simu yako, bali alikuwa anakuelewesha kuwa kwa pesa uliyotumia kununua hiyo simu , ungepata simu zenye specs nzuri kuliko hiyo samsung

Sikuona kama alikuwa anataka kukudharau au kukukejeli kama ulivyolipokea.
 
ndo hizo redmit sio xiaomi sijui… yani hizi hakuna tofauti na tekno 🤣 🤣 🤣
 
Ewaa ukizungumzia katika mantiki hiii, now your clear...

Yaani iwe wazi tuu, kumbe mtu unachagua kilicho bora Katika katika daraja lako, na KWAKO kinabaki kua bora hata kama kuna zaidi.
Sasa sindio nilikuwa nazungumzia mwanzo nyie wauza simu wa kariakoo aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…