Samsung A 02S Vs samsung A 12 Ipi ninunue?

Samsung A 02S Vs samsung A 12 Ipi ninunue?

oxlade

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
601
Reaction score
96
Salaam wadau, nataka chukua simu kati ya hizo mnili, ipi inafaa kwa matumizi ya kawaida? Au ni simu gani nyingine nichukue kwa bajeti inayoendana na hizo yaani 300-450k
 
Salaam wadau, nataka chukua simu kati ya hizo mnili, ipi inafaa kwa matumizi ya kawaida? Au ni simu gani nyingine nichukue kwa bajeti inayoendana na hizo yaani 300-450k

Ngoja wajuzi waje au ungepita GSM arena mkuu...!
 
Mkuu unahitaji A20S au A02S na A12?Kama A20S ninayo nauzwa ina miezi mitatu
 
Salaam wadau, nataka chukua simu kati ya hizo mnili, ipi inafaa kwa matumizi ya kawaida? Au ni simu gani nyingine nichukue kwa bajeti inayoendana na hizo yaani 300-450k

A O2S ni ndogo hata kwa matumiz binafsi kulingana na bajeti yako hyo hapana, sema inategemea na matumizi yako ila hapo ya kuchukua ni A 12 kama uko kwenye bajeti na chenji kibao inabaki kwa mbadala Chukua POCO sema najua wengi ni Samsheeps kwahyo chukua A 12 Kama upo Dar PM nikuelekeze upate kwa bei nzuri
 
Salaam wadau, nataka chukua simu kati ya hizo mnili, ipi inafaa kwa matumizi ya kawaida? Au ni simu gani nyingine nichukue kwa bajeti inayoendana na hizo yaani 300-450k
A12
 
A02s hakuna simu hapo inazidiwa kila kitu na A10s yan kikubwa ni bettry,camera, Rom, na Ram ila processor ambayo ndo simu yenyewe ndogo... Yan bora Spark 4 kabisaa


Kama unapenda Samsung inayokaa na chaji chukua A02s
 
Salaam wadau, nataka chukua simu kati ya hizo mnili, ipi inafaa kwa matumizi ya kawaida? Au ni simu gani nyingine nichukue kwa bajeti inayoendana na hizo yaani 300-450k

Nimekuchek PM
 
A O2S ni ndogo hata kwa matumiz binafsi kulingana na bajeti yako hyo hapana, sema inategemea na matumizi yako ila hapo ya kuchukua ni A 12 kama uko kwenye bajeti na chenji kibao inabaki kwa mbadala Chukua POCO sema najua wengi ni Samsheeps kwahyo chukua A 12 Kama upo Dar PM nikuelekeze upate kwa bei nzuri

Nilikuwa napitia Ali Express leo nikakutana na hilo jina hebu nipe ukali wake mkuu...!
 
Nilikuwa napitia Ali Express leo nikakutana na hilo jina hebu nipe ukali wake mkuu...!

POCO mwanzo zilikuwa ziko manufactured na Xiaomi ilikuwa kama sub brand though siku zilivyoenda nilisikia poco inasimama kama independent brand sema simu zake nzuri na bei zake cheap kwa hiyo Xiamoni na Poco kama ndg fulani hivi kuweka short
 
POCO mwanzo zilikuwa ziko manufactured na Xiaomi ilikuwa kama sub brand though siku zilivyoenda nilisikia poco inasimama kama independent brand sema simu zake nzuri na bei zake cheap kwa hiyo Xiamoni na Poco kama ndg fulani hivi kuweka short

Zinapatikana TZ...?
 
Madukan sidham hizi mostly ununue kwa e-stores

Kinachonishindaga kununua online ni ule muda wa kusubiri mpaka bidhaa ifike aiseee...! Huwa naona bora tu nitafute hapa hapa Bongo mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: B51
Unataka nunua simu nzuri au unataka kununua simu ya bajeti yako?
 
450k nenda kkoo kachukue Xiaomi Redmi Note 9 au chini ya hapo kidogo unapata Redmi Note 8 kma hutaki mambo ya kuagiza Aliexpress. Zote hzo ni simu bora zaidi kuliko hzo A12 na A02s
 
Kinachonishindaga kununua online ni ule muda wa kusubiri mpaka bidhaa ifike aiseee...! Huwa naona bora tu nitafute hapa hapa Bongo mkuu.

Chagua shipping method ya chap kama budget sio tatizo
 
Chagua shipping method ya chap kama budget sio tatizo

Hapo napo changamoto kiongozi hawa wakina Fedex na DHL hatari sana, mostly mtu akiwa anatoka abroad ndio huwa napenda kumuagiza otherwise bora device iwepo hapa ninunulie hapa hapa mkuu.

Thanks pia kwa info za Poco nimecheki Ali Express naona mzigo umesimama Poco F3 inaenda mpaka 900k na kitu pia specs zake zipo vizuri kiongozi. Thanks ngoja tutafute mdau anayeenda hizo nchi i hope India, China etc zitakuwepo.
 
Pitia hiyo thread, hizo ni simu za kampuni ya Xiaomi, Poco & Redmi
Nilikuwa napitia Ali Express leo nikakutana na hilo jina hebu nipe ukali wake mkuu...!
 
A O2S ni ndogo hata kwa matumiz binafsi kulingana na bajeti yako hyo hapana, sema inategemea na matumizi yako ila hapo ya kuchukua ni A 12 kama uko kwenye bajeti na chenji kibao inabaki kwa mbadala Chukua POCO sema najua wengi ni Samsheeps kwahyo chukua A 12 Kama upo Dar PM nikuelekeze upate kwa bei nzuri

A12 wanauzaje huko unaposema mkuu...?
 
Back
Top Bottom