Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,080
- 2,871
Natumia Google Chrome,pia nimecheki browser nyingine,pia hata nikiweka password za RFK zng haifungikiUnatumia browser gani Ndugu
Mkuu sijakosea herufiMimi naamini kuna sehemu unachanganya Herufi kubwa na ndogo, Angalia hio caps kwenye pc
Nitumie username na password yako niingize kwenye simu yanguMkuu sijakosea herufi
Duuh!Nitumie username na password yako niingize kwenye simu yangu
nina simu kama yako huwa anachezea mwanangu wa chekechea
[emoji23]Nitumie username na password yako niingize kwenye simu yangu
nina simu kama yako huwa anachezea mwanangu wa chekechea
Mkuu tuwe serious kidogo basi Ila nakutumia ASA hivi!!!Duuh!