nyasangaboy
Senior Member
- Jul 14, 2020
- 127
- 58
Habari zenu wadau, nauza simu yangu ya samsung A10s kwa bei ya 210k napatikana Mbagala Dar es Salaam iko poa kwa kila kipengele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwe nimweke imei nakupa na box lake kabsa.Kwa uhakika 180 ninayo lakini kwanza weka IMEI yake hapa kwanza ili kesho na keshokutwa isiwe miyeyusho
Mkuu mbona kimya tena haujibu au umeishaiuza?mimi naitaka seriously lakini nina 180Habari zenu wadau ,nauza simu yangu ya samsung A10s kwa bei ya 210k napatikana mbagala dar es salaam iko poa kwa kila kipengele
Ina risiti na box lake .....fanta 200kMkuu mbona kimya tena haujibu au umeishaiuza?mimi naitaka seriously lakini nina 180
tunza ifike 200k ununue mali halali kijana..!Mkuu mbona kimya tena haujibu au umeishaiuza?mimi naitaka seriously lakini nina 180
Nina risiti na box lake nataka 200ktunza ifike 200k ununue mali halali kijana..!
IMEI please,namaanishaNina risiti na box lake nataka 200k
wasi wasi wa nini kama mtu ana risiti na box lake. kama kuna kitu zaidi unajua weka na sisi tujifunze maanza risiti na box vinaonyesha uhalali wa umiliki toka upya wakeKUWENI MAKINI NA SIMU ZA KUNUNUA MKONONI