Naogopa nisije inunua ya 1.7 millions kumbe ni used au refurbishedWapigaji wengi sikuhizi hasa kwenye simu. Kila mtu anauza bei yake. Ila s21 ultra saivi ni less than two million mzee. Mlimani city wanaenda wakishua wasiojua kuzurura mtaani kuulizia bei.
Si ameelewa au [emoji23][emoji23]Kama ulikuwa unajua kwa Tsh why uweke kwa dola na unajua mhusika anataka kununua kariakoo na m/city?
Naogopa nisije inunua ya 1.7 millions kumbe ni used au refurbished
Unamaanisha kuwa kwa sasa hivi Samsung hawazalishi tena galaxy s21 ultra? Sidhani kama upo sahihiunaogopa kivuli.
21ultra mpya unaipata wapi mwaka 2022???
cha muhimu angalia kwa umakini duka unalonunua,hakikisha zipo nyingi,ili hiyo moja ikizingua upewe nyingine.
Unamaanisha kuwa kwa sasa hivi Samsung hawazalishi tena galaxy s21 ultra? Sidhani kama upo sahihiunaogopa kivuli.
21ultra mpya unaipata wapi mwaka 2022???
cha muhimu angalia kwa umakini duka unalonunua,hakikisha zipo nyingi,ili hiyo moja ikizingua upewe nyingine.
Unamaanisha kuwa kwa sasa hivi Samsung hawazalishi tena galaxy s21 ultra? Sidhani kama upo sahihiunaogopa kivuli.
21ultra mpya unaipata wapi mwaka 2022???
cha muhimu angalia kwa umakini duka unalonunua,hakikisha zipo nyingi,ili hiyo moja ikizingua upewe nyingine.
Unamaanisha kuwa kwa sasa hivi Samsung hawazalishi tena galaxy s21 ultra? Sidhani kama upo sahihi
Navyoelewa inategemea na toleo, kama ni ya mwaka jana unawezakuta bado production ya aina husika inaendelea.Sidhani kama S21 zilizalishwa za kuwatosha wote na kuuzwa kwa wahitaji wote duniani mpaka useme zimesitishwa..simu kurudishwa kiwandani kwa marekebisho haiwezi kuja kama mpya labda tu kibongobongo wafanyabiashara wengi wananunua simu za mafungu ambazo ni refurb, second hand n.k kisha wanatupiga kuwa ni mpya.hilo ndio jibu sahihi ndugu yangu.
simu husika za mwaka husika hutengenezwa mwaka husika.
S21 yoyote unayoiona leo,ilitengengenezwa 2021 ikawa stoke mpaka imekufikia au ilirudi kiwandani kufanyiwa marekebisho yaani refub.
Utaijuaje simu kama ni mpya au ni Refurbished haswq kama Samsung?Navyoelewa inategemea na toleo, kama ni ya mwaka jana unawezakuta bado production ya aina husika inaendelea.Sidhani kama S21 zilizalishwa za kuwatosha wote na kuuzwa kwa wahitaji wote duniani mpaka useme zimesitishwa..simu kurudishwa kiwandani kwa marekebisho haiwezi kuja kama mpya labda tu kibongobongo wafanyabiashara wengi wananunua simu za mafungu ambazo ni refurb, second hand n.k kisha wanatupiga kuwa ni mpya.
Hii ndio yenyewe picha nilizoweka ni za 22UltraHii ni tofauti na simu anayoiulizia mtoa mada?View attachment 2360415
Je picha alizo weka ndio za 21ultra?
Mpya kwenye Settings huwa zina software updateUtaijuaje simu kama ni mpya au ni Refurbished haswq kama Samsung?