The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
GsmArena wamasema wamepata taarifa kwamba kampuni ya Samsung inayotarajiwa kuachia simu yake ya mwaka ama Flagship Phone ya S22 Ultra ambayo inatarajiwa kua na picha kali zaidi kuliko S21 Ultra ya mwaka huu.
Binafsi nasubiri S22 Ultra ikiwa kweli ina picha kali nafanya trade off faster na hii S21 Ultra.
Samsung vitu vyao ni vya uhakika.
Binafsi nasubiri S22 Ultra ikiwa kweli ina picha kali nafanya trade off faster na hii S21 Ultra.
Samsung vitu vyao ni vya uhakika.