Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Imeripotiwa kuwa Samsung wana mpango wa kuanza kutumia Bing ya Microsoft kama default search engine.
Taarifa zinasema kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya AI chatbot ambapo ChatGPT iliyo chini ya Microsoft kuonekana kuwavutia wengi imefanya Samsung wafikirie kutumia Bing kama default search engine.
Kutokana na uamuzi huu Google itapoteza mapato yenye thamani ya $3 billion kwa mwaka kutoka Samsung
Jumatatu ya leo hisa za Microsoft zilipanda kwa 1.4% huku za Google zikishuka kwa 3.2%
Google bado ni search engine inayopendwa zaidi duniani ikiwa na matumizi kwa 90% na Bing ni chini ya 3%
Taarifa zinasema kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya AI chatbot ambapo ChatGPT iliyo chini ya Microsoft kuonekana kuwavutia wengi imefanya Samsung wafikirie kutumia Bing kama default search engine.
Kutokana na uamuzi huu Google itapoteza mapato yenye thamani ya $3 billion kwa mwaka kutoka Samsung
Jumatatu ya leo hisa za Microsoft zilipanda kwa 1.4% huku za Google zikishuka kwa 3.2%
Google bado ni search engine inayopendwa zaidi duniani ikiwa na matumizi kwa 90% na Bing ni chini ya 3%