Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Google is here to stayImeripotiwa kuwa Samsung wana mpango wa kuanza kutumia Bing ya Microsoft kama default search engine.
Taarifa zinasema kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya AI ambapo ChatGPT iliyo chini ya Microsoft kuonekana kuwavutia wengi imefanya Samsung wafikirie kutumia Bing ya Microsoft kama default search engine.
Kutokana na uamuzi huu Google itapoteza mapato yenye thamani ya $3 billion kwa mwaka kutoka Samsung
Jumatatu ya leo hisa za Microsoft zilipanda kwa 1.4% huku za Google zikishuka kwa 3.2%
Google bado ni search engine inayopendwa zaidi duniani ikiwa na matumizi kwa 90% na Bing ni chini ya 3%
Ikitokea Apple nao wajitoe, Google watapoteza mapato $20 billion kwa mwaka kutoka AppleGoogle is here to stay
Wajitahidi sana kuwekeza kwenye AI chatbot maana hapo ndipo Microsoft atampiga baogoogle is everything,
ok google nowπ
Labda sielewi, as of now na-google kwenye desktop , sasa hao wawili wakijioa ndio wamekufa kweli? nieleweshe pleaseIkitokea Apple nao wajitoe, Google watapoteza mapato $20 billion kwa mwaka kutoka Apple
google nirahis sana kutumiaWajitahidi sana kuwekeza kwenye AI chatbot maana hapo ndipo Microsoft atampiga bao
Mapato yatapungua kwa googleLabda sielewi, as of now na-google kwenye desktop , sasa hao wawili wakijioa ndio wamekufa kweli? nieleweshe please
Nadhani itakuwepo mana bing ni search engine tuuBing ina x nauliza kwa niamba ya wanachama wa chaputa
mizigo ipo mchawi VPNBing ina x nauliza kwa niamba ya wanachama wa chaputa
Mawazo yako tunayaheshimu ila Google apewe heshima yake.Google sasa imekua ya kitoto mno! Hakuna features mpya wala nini...Hii ndio sababu Samsung anatoka huko kwani wamejaa watumiaji wa infinix,tecno na simu nyingine local
Waliridhika sana kutawala soko ona Microsoft wamewachallenge na hii chatGPT nao wamekuja na Bard chatbot ila kwa sasa inatumiwa Marekani na Uingereza tuGoogle sasa imekua ya kitoto mno! Hakuna features mpya wala nini...Hii ndio sababu Samsung anatoka huko kwani wamejaa watumiaji wa infinix,tecno na simu nyingine local
Google chrome sasa ni gazeti la udaku kama yalivyokua sani, Kiu, uwazi & lete raha kwani unayasikia tena siku hizi...πππMawazo yako tunayaheshimu ila Google apewe heshima yake.