Computer4Sale Samsung Laptop inauzwa (ya kipekee sana)

Computer4Sale Samsung Laptop inauzwa (ya kipekee sana)

Joined
Aug 12, 2012
Posts
15
Reaction score
5
Nauza PC bei 500,000TZS.(fixed).

Specifications:

[emoji117]Touch screen (ina kalamu yake pia unaweza kutumia mkono)

[emoji117]Ram 4GB

[emoji117]Processor Intel(R) Core i5, 1.8GHz
64 bit Operating system, 64 based processor.

[emoji117]HDD 128 GB.

[emoji117]Unaweza kutumia Kama Tablet au laptop kawaida.

[emoji117]Slim na nyepesi,

[emoji117]chaji inakaa 5hours.

[emoji117] Inatumia Sim card ( laini ya simu/ chip)
[emoji117] Ina sehemu ya kuweka memory card
[emoji117] USB port

Ni used, imetumika kwa muda si zaidi ya mwaka, iko katika hali nzuri sana.
Sababu ya kuuza: Nataka kuongeza grease tu[emoji23]


Model: XE700TIC

Unaweza kuisoma hapa uielewe kwa undani kabla hujanifata kuinunua: Samsung Ativ Smart PC Pro 700T (XE700T1C-A02AU)

Mawasiliano:
Au DM

Location:Tanga
Inaweza kukufikia kokote ilimradi mawasiliano.
 
IMG-20171003-WA0003.jpg
IMG-20171003-WA0004.jpg
IMG-20171003-WA0005.jpg
IMG-20171002-WA0006.jpg
IMG-20171002-WA0007.jpg
IMG-20171002-WA0008.jpg
IMG-20171002-WA0005.jpg
IMG-20171003-WA0009.jpg
 
Back
Top Bottom