Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Kama haishik 4G basi ni issue ya network bandHiyo hapo inaonesha 3g to 4g
band 1800 ndio common mkuu. tigo na zantel mjini, voda, ttcl na airtel kote. umejaribu kubadili line ukaweka voda ama ttcl 4g?Naweza kufanya manuva gani kwenye hizo band
iyo ndo note
kuna jamaa hum jin silikumbuk , lakin kwenye sim yako inaez ikawa locked yan sio international may be ni kwaajil ya mitandao fulan pia hil inwezeka labda ikawa moja ya sababu kunajinsi ya ku inlock izo bandBosi unajua unaongea nn?