Unajua gharama ya kuanzisha kampuni Alafu wewe utake huduma zake bure?Sorry, Naombeni site ya kudownload full movie free za makampuni ya movie kama universal pictures
🤣🤣🤣 Ila Supu ya kokoto 🤣🤣🤣🙌Unajua gharama ya kuanzisha kampuni Alafu wewe utake huduma zake bure?
Kama kioo kinabadilishika badilisha uuze bei nzuri.Habari wakuu.
Samsung note 9 ipo sokoni ila ina shida ya kioo kinahitaji kubadilishwa.
Storage 128GB
Ram 6GB
Bado ipo kwenye clean condition ukiacha kioo tu.
Bei ya kubadilisha kioo ni 170k
Bei 90,000
0757 444 844.
Hapana mkuu haifikiKioo ndio thamani ya samsung.
Hapo unaweza kuta kioo chake tu kinauzwa laki 5
Pole Mkuu nikajua una kisirani nikupandishie maruhani Kumbe una ustaarabu.🤣🤣🤣 Ila Supu ya kokoto 🤣🤣🤣🙌
Siwezi ukorofi huo mkuu... Mimi ni mstaarabu...Pole Mkuu nikajua una kisirani nikupandishie maruhani Kumbe una ustaarabu.
Am sorry sana boss.