Samsung One UI ni Version bora kabisa ya Android kuliko versions zozote za Android

Samsung One UI ni Version bora kabisa ya Android kuliko versions zozote za Android

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,051
Reaction score
12,954
Kama unatumia Samsung siku ukishika simu nyingine za Android unatamani urudi Samsung mapema sana.

Nimetumia Oxygen OS ya One Plus, Color OS ya Oppo, MIUI ya Xiaomi na nyinginezo lakini hakuna inayoifikia One UI ya Samsung kwa utamu wa mpangilio wa apps, fluidility, visual impressiveness nk.

Makampuni mengine ya Android yakachukue somo kwa Samsung.
 
Kama unatumia Samsung siku ukishika simu nyingine za Android unatamani urudi Samsung mapema sana.

Nimetumia Oxygen OS ya One Plus, Color OS ya Oppo, MIUI ya Xiaomi na nyinginezo lakini hakuna inayoifikia One UI ya Samsung kwa utamu wa mpangilio wa apps, fluidility, visual impressiveness nk.

Makampuni mengine ya Android yakachukue somo kwa Samsung.
Hizo ni android skin tu. Android ni ya Google mkuu
 
Ndio maana hata apple huwa wanaangalia samsung kakwama wapi, ndipo wanapigia hapo. Maana hawa wengine ni kama mbuzi tu, hakuna umakini katika kazi. Android 12 ukiiona jinsi inavyoonekana kwenye S22 na kwenye pix6 utahisi Samsung ndio mwenye nyumba.
 
Ndio maana hata apple huwa wanaangalia samsung kakwama wapi,ndipo wanapigia hapo.Maana hawa wengine ni kama mbuzi tu,hakuna umakini katika kazi. android 12 ukiiona jinsi inavyoonekana kwenye S22 na kwenye pix6.utahisi samsung ndio mwenye nyumba.
[emoji3][emoji3] material ui imekaa poa sana kwenye pixel 6 pro ila hizo skins nyingine wachina wameamua kuangalizia IOS wazi wazi hakuna ubunifu ONEui 4.0+ ni habari nyingine
 
[emoji3][emoji3] material ui imekaa poa sana kwenye pixel 6 pro ila hizo skins nyingine wachina wameamua kuangalizia IOS wazi wazi hakuna ubunifu ONEui 4.0+ ni habari nyingine
Hii ni habari nyingine mkuu.
 
Ndio maana hata apple huwa wanaangalia samsung kakwama wapi,ndipo wanapigia hapo.Maana hawa wengine ni kama mbuzi tu,hakuna umakini katika kazi. android 12 ukiiona jinsi inavyoonekana kwenye S22 na kwenye pix6.utahisi samsung ndio mwenye nyumba.
Simu Duniani hapa anatengeneza Samsung anafuatiwa na Apple.

Wengine wajifunze hao jamaa wanatengenezaje simu zao.

Samsung anachonifurahisha zaidi yuko vizuri kwenye hardware na software skin yake ya Android.
 
Back
Top Bottom