TV4Sale Samsung qled smart 4k tv onch 65 curved

TV4Sale Samsung qled smart 4k tv onch 65 curved

Mosskiss

Senior Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
158
Reaction score
103
Samsung qled series 8 curved smart tv inch 65 ilipata hitilafu wakati inasafirishwa kutoka s.A ikatoa mstari kama inavyoonekana.. Ila unatumia fresh kabisa ina sauti hauhitaji subwoofer.. Tv ya milion 5 nauza 900,000 kwa sababu ya huo mstari.. Na hauongezeki

0744680670

Polish_20211119_191828155.jpg
IMG_20211119_185820_9.jpg
IMG_20211119_185510_9.jpg
IMG_20211119_190355_2.jpg
IMG_20211119_185427_1.jpg
 
Ninayo kama hiyo,ilianza kama utani kuleta giza upande mmoja,mpaka leo taa zote zimeungua haioneshi chochote!

Najipanga kuipeleka kwa fundi, ikizingua tena nalitupa stoo!!

Hawa Samsung nao siku hizi vitu vyao vimeshuka ubora, matatizo kama haya tumeyazoea kwenye makampuni kama aborder na ndugu zake[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Ninayo kama hiyo,ilianza kama utani kuleta giza upande mmoja,mpaka leo taa zote zimeungua haioneshi chochote!

Najipanga kuipeleka kwa fundi, ikizingua tena nalitupa stoo!!

Hawa Samsung nao siku hizi vitu vyao vimeshuka ubora, matatizo kama haya tumeyazoea kwenye makampuni kama aborder na ndugu zake[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Samsung feki zina kuwa hivyo, hayo matatizo yapo ata kwenye simu zao ambazo siyo Original kuna wakati zina kuwa na mstari kwenye kiyoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninayo kama hiyo,ilianza kama utani kuleta giza upande mmoja,mpaka leo taa zote zimeungua haioneshi chochote!

Najipanga kuipeleka kwa fundi, ikizingua tena nalitupa stoo!!

Hawa Samsung nao siku hizi vitu vyao vimeshuka ubora, matatizo kama haya tumeyazoea kwenye makampuni kama aborder na ndugu zake[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Hhahhaha ubaya kuwasha leds hizo na ufundi unaweza kuropokewa ni 1M kwa kioo curved!
Ukipiga hesabu ukiongeza 300k kwenye hio hela unavuta hisense 55” si bora ununue tv mpya tu
 
jaman najichanga changa nataka kununua tv sasa nimeenda dukan muuzaj ananiambia kuwa kuna aina ya tv yaitwa pmc sasa sijajua ipoje jaman muuzaji mwenyew anaisifia sana
 
Back
Top Bottom