sio kuongezeka tu had kustack itakua inastackMkuu mstari huo utaongezeka tu amini nakwambia
Samsung feki zina kuwa hivyo, hayo matatizo yapo ata kwenye simu zao ambazo siyo Original kuna wakati zina kuwa na mstari kwenye kiyooNinayo kama hiyo,ilianza kama utani kuleta giza upande mmoja,mpaka leo taa zote zimeungua haioneshi chochote!
Najipanga kuipeleka kwa fundi, ikizingua tena nalitupa stoo!!
Hawa Samsung nao siku hizi vitu vyao vimeshuka ubora, matatizo kama haya tumeyazoea kwenye makampuni kama aborder na ndugu zake[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Hhahhaha ubaya kuwasha leds hizo na ufundi unaweza kuropokewa ni 1M kwa kioo curved!Ninayo kama hiyo,ilianza kama utani kuleta giza upande mmoja,mpaka leo taa zote zimeungua haioneshi chochote!
Najipanga kuipeleka kwa fundi, ikizingua tena nalitupa stoo!!
Hawa Samsung nao siku hizi vitu vyao vimeshuka ubora, matatizo kama haya tumeyazoea kwenye makampuni kama aborder na ndugu zake[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Hiki ndo kinanifanya najivuta vuta kupeleka kwa fundi!!Hhahhaha ubaya kuwasha leds hizo na ufundi unaweza kuropokewa ni 1M kwa kioo curved!
Ukipiga hesabu ukiongeza 300k kwenye hio hela unavuta hisense 55” si bora ununue tv mpya tu
Ubaya wa Name Brands unakujaga hapo likikufia tu ni balaaHiki ndo kinanifanya najivuta vuta kupeleka kwa fundi!!
Tayari ushamnyeaMkuu mstari huo utaongezeka tu amini nakwambia