Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
S10 plain ndy ndogo Ila 10+ ni kubwa kiumboBattery 97. Sio mbaya…
Tuwekee na bei tupime. Au suala la bei kwako hamna? Ni muhimu upate simu mojawapo hapo?
Ingekuwa ni X Max.. ningekwambia uchukue Aifoni, tena uwende unakimbia.
X plain sina Xperience nayo.
S10 Sm.. anayo rafiki yangu, ni nzuri
Sema kadogo 😂😂
Bro sio kwamba ni utunzaji tu au? Maana Hapa nipo na Infinix hot 8 nilinunua 2019 mpk Leo ninayo na ndy naitumiaKama unataka kukaa na simu zaidi ya 2 years chukua iPhone X.
Kama utabadirisha by next year, chukua zako iyo S10.
Kwahy hapo unanishaurije mkuuMpaka sasa niko na 10+ na haijawahi kunisumbua na uwezo wa betri ni super kabisa.Nachaji mara 1 kwa siku 2 na sizimi data.
Dubai bobuS10+ used bongo ama dubai? Naona bei imepoa sana.
Daah we jamaa! keko mwanga.Chukua iPhone X,hiyo Samsung utaitwa na wazee wa kubrashia viatu muda si mrefu,utaambiwa ni used kutoka Dubai kumbe imeporwa keko magurumbasi
Lete Maneno.....S10+ laki 4?
Ndy Ila ni used from DubaiS10+ laki 4?
Ebo! Mbn mnanichangny sasaSImu ni Samsung, Samsung ni simu.
Hapo sawaa, nlitaka nishangae na mie.Dubai bobu
BAsi chukua hiyo hiyoNdy Ila ni used from Dubai
Hio tuna boost chagua health unayotaka tukuwekeeBattery 97. Sio mbaya…
X niachane nayo?BAsi chukua hiyo hiyo
INSTAGRAM @dollrubii_decors