Phone4Sale Samsung S8 inauzwa kwa bei nafuu

Pzika

Member
Joined
Jun 29, 2019
Posts
19
Reaction score
10
SAMSUNG S8
64Gb
550,000/= fixed
Fullbox New
Call/whatsapp: 0715767420

 
mkuu..kwa nin umeamua kuiuza hiyo simu bei rahis kiasi hicho?
 
Ukiitiwa Fursa Ujue Wewe Mwenyewe Ndiyo Fursa
Kumekucha Sasa Hivi
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚
 
Kuna mtu anaenda kulizwa hapa,

Sio kwa hii vunja Bei,

Kutoka 1.5million MPAKA laki 5 inaleta ukakasi sana,

Vinginevyo mtoa mada atueleze kwanini anauza Bei rahisi hivi

Kiambatanisho[emoji116]View attachment 1508875
Mkuu S8 Plain kwa bei hio ni sawaaaa kabisa,
Kama ni kulizwa alizwe kwa mtego mwingine ila sio bei..

Kwanza tayari umeona simu ameishika mkononi, kwahio piga ua sio mpya, ni either
Imefanyiwa ukarabati(refurbished) au ni mtumba(used)..

Hio ni bei ya S10+ leo hii,
Usisahau hio simu ina miaka zaidi ya 3 tangu itoke,
Kwa ufupi Hao tigo ndio wanaliza watu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…