Samsung wamezindua simu tatu za Galaxy S25 series!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wapenzi na wadau wa Samsung.

Jana usiku Wakorea walitoa vitu vyao vutatu vya mwaka 2025, Samsung Galaxy S25, S25+ na S25 Ultra.

Ya kuongea ni machache kwasababu ni upgrade ndogo kutoka S24 series.

Samsung pia walituonesha Galaxy S25 Slim aka S25 Edge ambayo itazinduliwa hivi karibuni.

Kwakua upgrade ya S25 kutoka S24 ilikua ndogo, Samsung waliongelea sana AI na software issues katika event yao kuliko hardware upgrades.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…