[emoji3] pongezi mkuu kumbe una kampuni kubwa hiviKampuni yangu
njoo nkuuzie usedbei gani zinauzwa?
Eeh bana nilianza kidogo kidogo 🤣[emoji3] pongezi mkuu kumbe una kampuni kubwa hivi
iPhone 16 Pro max , umepelewa moto wa nyukilia, kabla hapa hapa S25 Ultra napo moto wa atomic... 🤣🤣🤣 Kuna watu wanapata sana taaabuNitaendelea na matecno yangu.
inakuja Google pixel 10 ikiwa na new Tensor G5 kufunga kaziiPhone 16 Pro max , umepelewa moto wa nyukilia, kabla hapa hapa S25 Ultra napo moto wa atomic...Kuna watu wanapata sana taaabu
Lakini hii kampuni si nasikia yenu nyinyi wakorea!Hawa wapuuzi wanatatufanywa watumwa wa matoleo sasa
Ni kweli mkuu lakini haziji afrika Kama ilivyo kwa iPhone wanakuambia hawajawai kuuza simu zao huku afrikaLakini hii kampuni si nasikia yenu nyinyi wakorea!