Samsung yasitisha utengenezaji wa A7x Series zikiwemo A73, A74, A75 na kuendelea

Samsung yasitisha utengenezaji wa A7x Series zikiwemo A73, A74, A75 na kuendelea

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1672160130284.png
Kwa kawaida, toleo la simu za Galaxy A ambazo zinauza sana ni A5x. Lakini ripoti mpya zinaonyesha Galaxy A series zitaacha kuwa na toleo la A7x hivyo Galaxy A73 ndio simu ya mwisho kuwa na A7x.

Galaxy A74 ambayo ilitegemewa kutoka mwakani haitakwepo hivyo toleo la A Series litabaki na A54 ambayo ndio itakuwa A Series yenye uwezo mkubwa zaidi kuliko A Series zote.

SwahilliTek
 
Back
Top Bottom