Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
kompany yuko njema ee?Ina maana bongo yake iko njema kama Vincent Kompany
hehehehehe ufipa watapinga watasema etoo hana akili za kusoma havard ... et ooh atafeli tu muda utaongea π π π π π
cv ya etoo ni kubwa kuliko maksi za darasani... havard nafasi atapata na atafaulu tu..
ana uwezo wa kuajiri hata private proffessor wa kumpuga tution kila somo after classes
hata George Weah amesoma sekondari na chuo kikuu marekani baada ya kustaafu mpira.. na sasa ni rais kwao
sana tu ana master- mba toka manchester business school.kompany yuko njema ee?
Ndio tuache tupo bize hujui hii ni wiki ya furaha baada ya ushindi wa 99.9999%leo hamjapinga kitu