samuel999 yupo wapi?

Ntakuamini vp mana huko juu dada ako analalamika na wifi wengii
Mim usinifananishe na razor au mo max daby.
Humu kila mtu anajua kuwa inna ni wa nani. Au ivuga yupo na nani.
Sasa kaukize kuhusu jiran yako ndio utajuata
 
Ntakuamini vp mana huko juu dada ako analalamika na wifi wengii
Mim usinifananishe na razor au mo max daby.
Humu kila mtu anajua kuwa inna ni wa nani. Au ivuga yupo na nani.
Sasa kaukize kuhusu jiran yako ndio utajuata
 
Natanguliza shukrani kwenyu mashemeji wangu wabongo pamoja na wakenya ,nimeshukuru sana kwa mchango wenyu kwenye uzi huu wangu.
Ni nafuraha isiyo na kifani leo hii kwa kuliweka rekodi hili langu la binafsi
Namshukuru Daby kwa kunipa sapoti
Namshukuru pugu mdoli wangu kwa kunipa motisha
Namshukuru Mungu kwa afya na uhai
Namshukuru mwanzilishi wa JF Max Mello pamoja na wenzake kwa kuileta JF
Namshukuru yule mhuni aliyenitania kwa ukatili wake kwangu
Nawashukuru wabishi wa humu kwa kunipa nguvu za kuwajibu
Nawashukuru wabongo wote
Nawashukuru wakenya wote
Namshukuru Mwanasesere wangu
Namshukuru Bill Gates mwanzilishi wa Google
Namshukuru mwanzilishi wa lugha
Namshukuru mvumbuzi wa umeme
Namshukuru Inna kwa upole wake kwangu
Namshukuru espy kwa uwazi wake kwangu
Namshukuru Icono kwa ukakasi wake
Namshukuru saint Ivuga kwa kutia nanga kwenye uzi wangu
Namshukuru mcheshi na mtundu wa mjini kilam kwa kunijazia uzi


Naona nimehitimisha kurasa kumi.
Mungu awabariki sana

Daby Bongobaby keep it rolling,nashukuru sana.
Masalkheri!
 

Hongera ingawa hujanishukuru kwa kukujazia uzi wako. πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Pamoja sana.
Na naomba uendelee kuwa nasi.
Kuna taarifa unatakiwa uijue kuwa mrs Ivuga ni Inna
 

Hahahaha. Asante saana Tim kwa niaba ya wabongo tunashukuru kwa shukrani zako za Dhati. Tunawapenda saana wakenya.

Wasalimie shemeji zangu[emoji4][emoji4] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…