Tim upo team nani NASA au kwa kamwana?Uvunjike kama mbao Bill gates aje Bongo akawaripoti kwake Magu mkatupwe Lupango!...π
Tim upo team nani NASA au kwa kamwana?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mambo yako haya ya kubadili giaHutaki kukojoza?
Hahah hamna.[emoji23] [emoji23] [emoji23] mambo yako haya ya kubadili gia
Wanaume wa Tz hawaiti shosti hawachelewi kukwambia we ni shogaHaya yangu macho shost!...huwe unanitupia vijisiri vya kiTztz ili niendane sawa na kakazo.
Haha eti kotekote... kura utarusha wapiNipo kotekote,sina msimamo ila naona moyo unanidunda sana nnapoisikia jina tamu tu la NASA!
Inna , ujue tim ni mdada mali mpya ya jirani yako. Ohooo kumbe hujatambulishwa?Wanaume wa Tz hawaiti shosti hawachelewi kukwambia we ni shoga
Ye mwenyewe lazima ana stori ila kama msichana si ruhusa ku tell . Labda miss chagga na natafuta
Nashukuru tu hapa hujabadili maanaThese guys they know each other.
Sasa mmoja kabambwa na stori ya aliyoyafanya huko Nairobi halafu Bibi hajui
Inna , ujue tim ni mdada mali mpya ya jirani yako. Ohooo kumbe hujatambulishwa?
Haha...siwezi Tim.Ndio wanayokujaga kuyafanya kwetu Engare Nyirobi, huku nyuma wanawadanganya wachumba wao eti semina,haki Daby husiwe wa hivyo, waTz hawachelewagi nakwambia..hhehehehah!
Yaani kama ndio wifi ujiandae tu kisaikolojia, you wont be alone.Kumbe?!...mmh!..wacha tu basi,inaonekana mie nitakuwa wa 31 sasa,dah!...πππ±...silent killer kweli.
Jirani sijawahi kukuangusha wewe endelea kumsikiliza mdogo wangu ana mambo mazuriNashukuru tu hapa hujabadili maana
Kuna thread moja niliona ukalimani wako umepitiliza
Wooooo[emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87] i didnt knoooInna , ujue tim ni mdada mali mpya ya jirani yako. Ohooo kumbe hujatambulishwa?
Kuwa mpole hii ni timu ya ushindiJamani imebakia tu kurasa moja, tupieni hata matukio ya bongo.
Yaani kama ndio wifi ujiandae tu kisaikolojia, you wont be alone.
Mie mawifi zangu nawaambiaga ukweli tu.
My sister tupo ugenini basi tuliaYaani kama ndio wifi ujiandae tu kisaikolojia, you wont be alone.
Mie mawifi zangu nawaambiaga ukweli tu.
As long as daby yupo hapa itajaa zaidi ya ulivotakaJamani imebakia tu kurasa moja, tupieni hata matukio ya bongo.