Samwel Eto na Didier Drogba nani mkali ?

Samwel Eto na Didier Drogba nani mkali ?

Proved

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
32,639
Reaction score
42,908
Kama kichwa cha habari kilivyo hebu wadau wa soka fungukeni kuhusu miamba hao hapo juu na mchango wao kwenye soka la Africa na huko ulaya
 
Asee Etoo anatisha hata Herritier Makambo na Kagere wajipange kwa huyo jamaa.
 
Back
Top Bottom