Ule msemo wa kufa kufaana unajidhilisha LEO
Wengi wamepata kujua uchafu, hila Na njama pamoja Na usaliti wa huyu mzee
Alikua ana wasaliti ccm Na kuvujisha siri za utawala kwa vijana wa upinzani akina zito zuberi
Kifo chake kimeweka wazi majibu Na maswali ya watu kuhusu
RICHIMOND Na lowasa
Pia kinampa lowaza sifa ya uvumilivu wakina hadi LEO wanesema wenyewe.
Tumeweza kutambua kuwa kikwete si MTU wa kuaminika
Kwenye siasa anaweza kukuacha njiapanda
Viva babu
Samweli ,moja,mbili,tatu,nne,tano, si......