SANAA YA BONGO=saka hela ubunifu achia maunderground

Idd Ninga

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
5,497
Reaction score
4,775
Hiyo ndiyo hali halisi ya sanaa ya bongo kwa sijui ni kwa sababu vyuma vimebana au vipi,jibu wanalo wao
wasanii wa bongo kwa sasa wale wenye majina wamebaki kupiga copy na kupaste mradi majina yao yabaki na mshiko uingie.
wasanii chipukizi pamoja kuumiza vichwa lakini bado juhudi zao hazionekani licha ya kukesha wakiumiza vichwa.
kiwanda cha habari bongo nacho kimebaki kuwapa kipaumbele sana wasanii wenye majina na wasio na majina wanaachwa wapambane na hali zao.
sa hivi ubunifu hauhitajiki sana na hiyo ndio hali halisi ya sanaa yetu.
 
Daaahhh ila kweli mfano makini ngoma Kali ya mwisho naona ni Ile aliyopga na a.k.a tu huku kweny kataleta kapuyanga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…