Tetesi: Sanamu ya askari kuhamishiwa roundabout ya Mwenge vinyago

Tetesi: Sanamu ya askari kuhamishiwa roundabout ya Mwenge vinyago

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Kuna habari kuwa sanamu maarufu jijini Dar itahamishwa na kupelekwa mwenge vinyago na hivyo kukuza utalii katika soko maarufu la vinyago la Mwenge,habari hiyo inadai kuwa sanamu hiyo kuwa Posta inakuwa haina tija sana kama ingekuwa maeneo ya Mwenge yenye idadi kubwa ya watalii ukilinganisha na posta yenye idadi kubwa ya maofisi .

Taarifa hiyo inadai uhamisho huu utafanyika mara moja baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa meya wa jiji
 
Kuna habari kuwa sanamu maarufu jijini Dar itahamishwa na kupelekwa mwenge vinyago na hivyo kukuza utalii katika soko maarufu la vinyago la Mwenge,habari hiyo inadai kuwa sanamu hiyo kuwa Posta inakuwa haina tija sana kama ingekuwa maeneo ya Mwenge yenye idadi kubwa ya watalii ukilinganisha na posta yenye idadi kubwa ya maofisi .

Taarifa hiyo inadai uhamisho huu utafanyika mara moja baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa meya wa jiji
bila shaka huo ni uvumi tu sanamu hilo liko hapo tangu enzi za ukoloni wa kingereza. akili ndogo ndio inaweza kuhamisha kwenda mwenge.
 
Watu wanataka wapige hela tuu hapo hamna lolote. Sasa kule town si ndo kunamakumbusho makumbusho na vivutio vya watalii vingine
 
hii nayo ni muendelezo wa papara & ukurupukaji kupitia slogan ya 'hapa kazi tu'?
 
Bora watoe yale mavyuma wameweka pale mkwepu na mengine Karibu na TRA mengine yako Karibu hidumandal kuliko kumtoa kamanda kuna watu wengi wanapotea katika ya mjini kisha wanapigiana simu wakutane pale
 
Hiyo sanamu haikuwekwa hapo kwa ajili ya utalii. Ni alama ya kihistoria kwa Askari waliopigana vita. Lakini hii nchi ilivyo na viongozi mazuzu, usishangae hilo likitokea.
 
Sikweli lakini hawa hii serikali kila mtu anatafuta kiki hata huku kwetu arusha sanamu ilihamishwa kutoka msikiti wa bonden ikapelekwa karibu na ofs za mkuu wa mkoa bcoz of utalii ss sijui kwa upande wa huko kwenu
 
S
Kuna habari kuwa sanamu maarufu jijini Dar itahamishwa na kupelekwa mwenge vinyago na hivyo kukuza utalii katika soko maarufu la vinyago la Mwenge,habari hiyo inadai kuwa sanamu hiyo kuwa Posta inakuwa haina tija sana kama ingekuwa maeneo ya Mwenge yenye idadi kubwa ya watalii ukilinganisha na posta yenye idadi kubwa ya maofisi .

Taarifa hiyo inadai uhamisho huu utafanyika mara moja baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa meya wa jiji

Sanamu hiyo ipo hapo kihistoria na kama itahamisha itakuwa imepotosha historia ya mji huo kwani mpaka leo mimi nikipotea DSM huwa namwelekeza mtu kuanzia sanamu ilipo. Kama nikufuata watalii basi hata serengeti, mIKUMI, Ngorongoro, Mount Kilimanjaro navyo vihamishiwe DSM kwakuwa watali wengi kama siyo wote huingia Tanzania kupitia DSM
 
Back
Top Bottom