INAUZWA Sandale slides kwa 17000/=

Babillony

Member
Joined
Oct 12, 2020
Posts
8
Reaction score
0
BABILLON FASHION TZ

ON SALE SANDALS

BEI 17,000/=

FREE DERIVERY

CALL 0787228150
Dar es Salaam

 
๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ maisha ya Dr mbona yapo juu ivyo! Mimi izo sandals jana nimenunua buku8 uku mwanjelwa mbeya
 
๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎ maisha ya Dr mbona yapo juu ivyo! Mimi izo sandals jana nimenunua buku8 uku mwanjelwa mbeya
Ni elf 5-7.......amezidisha bei sana,labda nikwawale anaowapelekea majumbani
 
Huyu inaonesha hayupo dar na kama yupo dar basi yupo karume maana ndo bei zao
 
nikweli kabisa mkuu maana Mimi sikuamba anipunguzie iyo buku8 ndio bei alio anzia muzaj
Usicoment kwa kitu ambacho hukijui kama unaona ni bei sana basi sio level yako acha ikupite we tumia vilivyo katika uwezo wako
 
Usicoment kwa kitu ambacho hukijui kama unaona ni bei sana basi sio level yako acha ikupite we tumia vilivyo katika uwezo wako
kipi icho nisicho kijua icho? Or chakuwaibia watu? Kwatarifa yako ninauwezo mkubwa2 izo sandals kwangu ni kanda2 za kuogea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ