Ni elf 5-7.......amezidisha bei sana,labda nikwawale anaowapelekea majumbani๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ maisha ya Dr mbona yapo juu ivyo! Mimi izo sandals jana nimenunua buku8 uku mwanjelwa mbeya
nikweli kabisa mkuu maana Mimi sikuamba anipunguzie iyo buku8 ndio bei alio anzia muzajNi elf 5-7.......amezidisha bei sana,labda nikwawale anaowapelekea majumbani
kipi icho nisicho kijua icho? Or chakuwaibia watu? Kwatarifa yako ninauwezo mkubwa2 izo sandals kwangu ni kanda2 za kuogeaUsicoment kwa kitu ambacho hukijui kama unaona ni bei sana basi sio level yako acha ikupite we tumia vilivyo katika uwezo wako