Santiel Kirumba Aiwezesha Vifaa vya TEHAMA Old Shinyanga

Santiel Kirumba Aiwezesha Vifaa vya TEHAMA Old Shinyanga

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MBUNGE MHE. SANTIEL KIRUMBA AMEIWEZESHA OLD SHINYANGA VIFAA VYA TEHAMA

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga Mhe. Santiel Eric Kirumba aameiwezesha vifaa vya TEHAMA Shule ya Sekondari Old Shinyanga; Kompyuta Tano na Printer 1 ambavyo vitawasaidia wanafunzi kujifunza kwa vitendo darasani.

"Kompyuta hizi zitawasaidia kujifunza kwa vitendo ili kuelewa vizuri matumizi ya Tehama. Shule hii imekuwa ikiafanya vizuri kimkoa." - Mhe. Santiel Eric Kirumba

"Tunashukuru sana Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Madarasa ya kisasa ambayo tumepata katika Shule hii, imefanya kupunguza msongamano wa watoto na pia kutoa michango kwa wananchi asante mama yetu kipenzi" - Mhe. Santiel Eric Kirumba
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-03-29 at 13.28.52.jpeg
    WhatsApp Image 2023-03-29 at 13.28.52.jpeg
    47.8 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2023-03-29 at 13.28.51.jpeg
    WhatsApp Image 2023-03-29 at 13.28.51.jpeg
    63 KB · Views: 9
  • WhatsApp Image 2023-03-29 at 13.47.42.jpeg
    WhatsApp Image 2023-03-29 at 13.47.42.jpeg
    46.8 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2023-03-29 at 13.47.44(2).jpeg
    WhatsApp Image 2023-03-29 at 13.47.44(2).jpeg
    49.3 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2023-03-29 at 13.47.43(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-03-29 at 13.47.43(1).jpeg
    59.9 KB · Views: 4
Tupo pamoja,karibu sana shinyanga,na ahsante kwa kutimiza wajibu wako mhe,

Ila jimbo la kishapu mbunge hataki wengine watoe misaada,
 
Back
Top Bottom