Sarafu Moja E.A.C : Ripoti Yatoka, Mabishano Makali Yazuka


Hawa wazee wanataka kuiona sarafu moja kabla hawajafa so , wana harakisha
 
Hawa wazee wanataka kuiona sarafu moja kabla hawajafa so , wana harakisha

Hata mimi nina wasiwasi bado na hii jumuiya kwanini wanawahi sana kuwa na sarafu 1? Nadhani kweli muda wa sarafu 1 ni bado sana wangetazama mambo mengine,
Pili hawa wawakilishi wetu wanatakiwa wawe makini sana hapa,maana hawa wakenya mimi siwaamini kabisa,nashkuru kuwa tz imekataa ardhi yake kuingizwa kwenye jumuiya,maana hawa wakenya wangehamia tz wote kwa sababu ardhi kwao hakuna, wawakilishi wa tz kuweni makini sana na hawa kenya na rwanda,halafu hivi hii jumuiya haitoa adhabu kwa wanachama wanao sapoti machafuko kama uganda na rwanda?
Sarafu 1 kwanza tungefanya kura ya maoni kabla ya kuipitisha vinginevyo hapa tutakuja kuvuruga uchumi wetu mpaka tutajuta
 
Hii ni jumuiya ya waafrika wa mashariki au ni jumuia ya US na hawa "wakoloni" wanaorudi kwa mlango wa nyuma?

Je waafrika mashariki ndio wameunda hii jumuiya au tumeundiwa hii jumuiya kutimiza malengo ya wenye mali?

Wafadhili wakuu ni GIZ, shirika la maendeleo la ujerumani.
 

Morons, whats so special about Tanzania that Kenyans are waiting to troop in??????? No wonder every Kenyan gets a ban herei f they cannot see this type of hate speech but are quick to judge the rejoinders.
 
Kazi ya ukusanyaji documents ndio naimalizia. Ripoti iliyosainiwa sijaipata, nimeipata ambayo haijasainiwa. Katika kusaini kauli ya Msole(Signatory wa Tanzania) yamshtua Mutua(Signatory wa Kenya)asimama kabla ya kumalizia kusaini......vituko vingine havikupaswa kuwepo.
 
Wafadhili wakuu ni GIZ, shirika la maendeleo la ujerumani.

I feel pity kuona ishu ya uhisani..hawa jamaa sio wajomba zetu ni lazima wana lengo nyuma ya pazia.Tufike mahala tukatae kutegemea 'ufadhili' hata kwenye mambo mazito kama haya.
 

Siku ya Tano leo hamna attachments huyu jamaa feki
 
Siku ya Tano leo hamna attachments huyu jamaa feki
Mpinga Shetani naomba kuwa mvumilivu na naomba nipe siku ya mwisho leo, wewe na wanajamii wote, Kesho na-kamilisha....Nimeshazi-scan na kuzituma kwenye email yangu tayari kwa ku-attach...vumilia kwani si unajua majukumu ni mengi sana, si JF tu muda wote. Naomba vumilia ndugu yangu.
 
Dah attachment zimegoma nn?
 
Thanda hiyo documents iko wapi ss
 
Last edited by a moderator:
Me, nimekaa mkao wa kula naingoja hiyo attachment
 
Thanda hiyo documents iko wapi ss
Nimei-scan najaribu kuiattach naona haikubali. Niliihifadhi katika TIFF wataalamu wakaniambia inabidi iwe katika PDF, asante kwa kunikumbusha...acha nim-consult Ben (Graphic Designer and IT Personell wetu hapa ili anisaidie.
 
Ungetumia Adobe prof. uiconvert toka tiff kwenda pdf is . By using Adobe prof. is just a simple task to convert from TIFF to Adobe. Just only right click on that TIFF doc and choose "convert to pdf" then just upload here jamvini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…