Mtanzania2020
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 817
- 1,752
Uongo.Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani.
Kutoka 2800 hadi 2300
Kwa hili twakushukuru Rais Samia
1USD= 2375 TSH
Duh mbona kuporomoka huku kunataka kuniua kwa presha jamani.Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani.
Kutoka 2800 hadi 2300
Kwa hili twakushukuru Rais Samia
1USD= 2375 TSH
Hata black market mambo ni mazuri, imeahuka vizuri sanaKwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani.
Kutoka 2800 hadi 2300
Kwa hili twakushukuru Rais Samia
1USD= 2375 TSH
Tupange maandamano kupongeza na kububujikwa na machoziKwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani.
Kutoka 2800 hadi 2300
Kwa hili twakushukuru Rais Samia
1USD= 2375 TSH
Angalia pia shilling ya Kenya utuambie!Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani.
Kutoka 2800 hadi 2300
Kwa hili twakushukuru Rais Samia
1USD= 2375 TSH