Sarafu za malipo ya ngono enzi za Utawala wa Warumi

Hahahahah Rome kulikuwa na vichaa

Lile life la kwenye Spartacus watu wanakula we uko pembeni unaendelea na mishe zako[emoji1787][emoji1787]
 
Ile style ambayo hata shetani akiiona hutimua mbio ni kama sijaiona hapo au imebadilishwa mkao kidogo?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Motoni nadhani palishajaaa aseee,maana kuna wafuasi tangu enzi na enzi
 
Kumbe hapa duniani hakuna jipya kwa kizazi cha sasa
Kuna m bibi mmoja utamsikia akisema "watoto wa siku hizi" shida tupu wabibi wa kauli

hizi natamanigi namimi niwape bonge la jibu,sema ndo ivyo tutakutana Motoni huko huko
 
Alafu tusikie watu mje hapa ooh siku za mwisho siku za mwisho za konyo? watu walikua wana bloo jei tangu kitambo iko
 
Domina
 
Halafu wewe uliyelipwa unaenda kuitumia wapi?
Soma vizuri kuna sehemu wamesema unaenda Bureau de Change. Kubadirisha na Hela halali, pia wanunuzi wa K walikuwa wanaenda na madafu kupata Hela za K.

Sababu Kubwa ilikuwa kununua K na Hela yenye picha kichwa Cha Mfalme ilikuwa ni Uhaini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…