Sarafu zenye thamani ya Shilingi 20, 10, na 5 ikiwezekana hata chini ya hapo zirudishwe

Sarafu zenye thamani ya Shilingi 20, 10, na 5 ikiwezekana hata chini ya hapo zirudishwe

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Jaribu kufikiria, je kama sarafu za Tsh 500,200,100,50 nazo zingeondolewa inamaanisha leo hii kitu ambacho unanunua kwa Tsh 50 utakinunua kwa Tsh elfu1.

Kitu ambacho unakinunua kwa Tsh elfu 1 utaenda kukinunua kwa elfu 10.

Sasa ni heri hizi pesa ndogo ndogo zirudishwe kwenye mzunguko italeta unafuu sana wa maisha.

Mfano umefanya manunuzi na ilibidi urudishiwe pesa yenye thamani chini ya Tsh 50 hiyo pesa hutorudishiwa maana hakuna pesa yenye thamani hiyo kwa sasa.

Mfano zamani vitu kama unga tulikuwa tunanunua Tsh 70, mkaa Tsh 100,soda Tsh 50, chipsi yai Tsh 150,nk

Ndio maana zamani mke akiachiwa elfu 1 ya matumizi inatosha na chenji inabaki lakini leo hii kwa mtu mwenye maisha ya kati inabidi awe na si chini ya elfu 20 ili mambo yake yaende vizuri.

Nahitimisha kwa kusema kupanda kwa gharama za maisha miongoni mwa visababishi ni hiyo kutoa pesa ndogo ndogo kwenye mzunguko.
 
Jaribu kufikiria, je kama sarafu za Tsh 500,200,100,50 nazo zingeondolewa inamaanisha leo hii kitu ambacho unanunua kwa Tsh 50 utakinunua kwa Tsh elfu1.

Kitu ambacho unakinunua kwa Tsh elfu 1 utaenda kukinunua kwa elfu 10.

Sasa ni heri hizi pesa ndogo ndogo zirudishwe kwenye mzunguko italeta unafuu sana wa maisha.

Mfano umefanya manunuzi na ilibidi urudishiwe pesa yenye thamani chini ya Tsh 50 hiyo pesa hutorudishiwa maana hakuna pesa yenye thamani hiyo kwa sasa.

Mfano zamani vitu kama unga tulikuwa tunanunua Tsh 70, mkaa Tsh 100,soda Tsh 50, chipsi yai Tsh 150,nk

Ndio maana zamani mke akiachiwa elfu 1 ya matumizi inatosha na chenji inabaki lakini leo hii kwa mtu mwenye maisha ya kati inabidi awe na si chini ya elfu 20 ili mambo yake yaende vizuri.

Nahitimisha kwa kusema kupanda kwa gharama za maisha miongoni mwa visababishi ni hiyo kutoa pesa ndogo ndogo kwenye mzunguko.
Mkuu ili hili liweze kufanyika, kuna process inaitwa currency revaluation. Inafaida na hasara zake

Mfano nchi ya Zambia & Mozambique wamefanya hii hapo awali

Njia ya kuboresha currency yetu ni kuongeza exports, kuongeza uzalishaji wa ndani na kuboresha skills za watu wetu. Hata tukidurisha sh 10 ya zamani, baada ya mda hizo elfu moja itarudi tu.
 
Back
Top Bottom