A
Anonymous
Guest
,🥲🥲
Mimi ninaishi kata ya Saranga, kwa Mpapula jijini Dar es Salaam. Jamani huku tunahangaika maji hakuna, hatujaona maji mwaka umeisha sasa, mabomba hayatoi maji tunaishi kwa taabu sana , Kuna muda mpaka unahisi labda tupo jangwani
Kwa Mpapula na Saranga mpakani kote maji hakuna kabisa hayatoki, ambacho huwa tunafanya kuna watu wanatuuzia maji kwenye magari, yaani inabidi tuagizie kwenye magari ndio watuletee, Lita 1,000 tunanunua kwa shilingi 20,000
Tumeshapiga kelele sana kwenye uongozi lakini wapi, pia inaonekana kwamba hao wenye magari ya kuuza maji ndio wale wale viongozi wa huku, wananchi wanachota maji ya mitaroni sasa kwenye vyoo, hali ni mbaya kiukweli tunahitaji msaada sana tunakufa na kiu.
Mimi ninaishi kata ya Saranga, kwa Mpapula jijini Dar es Salaam. Jamani huku tunahangaika maji hakuna, hatujaona maji mwaka umeisha sasa, mabomba hayatoi maji tunaishi kwa taabu sana , Kuna muda mpaka unahisi labda tupo jangwani
Kwa Mpapula na Saranga mpakani kote maji hakuna kabisa hayatoki, ambacho huwa tunafanya kuna watu wanatuuzia maji kwenye magari, yaani inabidi tuagizie kwenye magari ndio watuletee, Lita 1,000 tunanunua kwa shilingi 20,000
Tumeshapiga kelele sana kwenye uongozi lakini wapi, pia inaonekana kwamba hao wenye magari ya kuuza maji ndio wale wale viongozi wa huku, wananchi wanachota maji ya mitaroni sasa kwenye vyoo, hali ni mbaya kiukweli tunahitaji msaada sana tunakufa na kiu.