KERO Saranga wilaya ya Ubungo ina tatizo kubwa la upatikanaji maji

KERO Saranga wilaya ya Ubungo ina tatizo kubwa la upatikanaji maji

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Cheology

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
384
Reaction score
601
Ulikuja ukaagiza maji yawepo, maagizo yalitupwa kapuni.

Waziri hawa watendaji wanatusababishia ubakaji kwa watoto na kinamama wakihangaika kutafuta maji.

Tusaidie
 
Saranga ipo sehemu gani hapa ubungo?
Ni mojawapo ya kata za Jimbo la Kibamba,Kuanzia mtaa wa Kimara Mwisho, Stop Over, Michungwani, Kimara B, King'ongo, Saranga, Upendo n.k....check google map.....ni mojawapo ya Kata kubwa kwa Jimbo la Kibamba kando ya Kata ya Mbezi....kuacha maji barabara nazo.....
 
Wilaya ya Ubungo ipo nyuma kwa kila kitu, maji, barabara nk vyote ni hovyo tu.
 
Wilaya ya Ubungo ipo nyuma kwa kila kitu, maji, barabara nk vyote ni hovyo tu.
Majimbo yake Mawili Kibamba na Ubungo kwa muda mrefu yalikuwa chini ya Chama flani hivi.....ingawa kwa sasa......
 
Inapakana na Ilala vijijini. Kinyerezi
 
Waziri awesome please saidia watoto wa mama samia
 
Back
Top Bottom