Pre GE2025 Sare za bodaboda kuwekwa picha ya Rais Samia na Mchengerwa kuagiza madereva bodaboda waache kusumbuliwa halitaongeza uvunjifu wa sheria?

Pre GE2025 Sare za bodaboda kuwekwa picha ya Rais Samia na Mchengerwa kuagiza madereva bodaboda waache kusumbuliwa halitaongeza uvunjifu wa sheria?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa jana alikuwepo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijiji Dar es Salam wakati akizindua sare maalum (uniform) na mfumo wa kidijitali (kanzidata) wa Madereva bodaboda na Bajaji wa Jiji la Dar es salaam.

boda samia.jpg

Sare hizi zina picha ya Rais Samia kama zinavyooneka hapo, lakini pia Mchengerwa alitoa maagizo kwa madereva wa bodaboda kuacha kusumbuliwa kwakuwa wanashiriki vizuri kwenye shughuli za ujenzi wa taifa.

“Kuanzia sasa sitaki kusikia kamata kamata ya hovyo, inayotokana na wakati fulani kuwepo na sintofahamu baina yenu na Maafisa wa Serikali, mchango wenu ni mkubwa sana hivyo Serikali ya Chama cha Mapinduzi inawathamini sana ninyi Maafisa usafirishaji wa bodaboda na bajaji, na ndio maana ninataka kuona ushirikiano mzuri unakuwepo baina yenu na Serikali"

Wakuu tunajua bodaboda ndio wanaongoza kwa uvunjifu wa sheria barabarani, na wengi hawana leseni, mtu anajifunzia zake mtaani siku mbili tatu huyo mtaani, kwa agizo hili hatuoni kama ni uvunjifu wa sheria utazidi kuongezeka?

Kwanini sare hizo zimewekwa picha ya Rais? Ukijumlisha na agizo la Mchengerwa si ni kampeni hiyo kabisa ya waziwazi, kila kitu mama atenda, tuanze kuuliza kama yule Mchungaji alivyosema, kama vyote amefanya Rais, nyie Wabunge na Mawaziri mnafanya kazi gani?

====

Pia soma: Mchengerwa: Wakuu wa Mikoa wote simamieni mfumo wa Kidijitali wa kuwatambua Madereva Bodaboda na Bajaji

#KataaMachawa
#KataaUozo2025
 
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini kuacha mara moja kamatakamata ya bodaboda isiyo na tija akisema Maaafisa usafirishaji (bodaboda) na Maafisa wa Serikali wanapaswa kufanya kazi kwa ushirikiano katika Mikoa na Wilaya ili kwa pamoja washiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa.

Mchengerwa ametoa maelekezo hayo akiwa Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijiji Dar es Salam wakati akizindua sare maalum (uniform) na mfumo wa kidijitali (kanzidata) wa Madereva bodaboda na Bajaji wa Jiji la Dar es salaam.

“Kuanzia sasa sitaki kusikia kamata kamata ya hovyo, inayotokana na wakati fulani kuwepo na sintofahamu baina yenu na Maafisa wa Serikali, mchango wenu ni mkubwa sana hivyo Serikali ya Chama cha Mapinduzi inawathamini sana ninyi Maafisa usafirishaji wa bodaboda na bajaji, na ndio maana ninataka kuona ushirikiano mzuri unakuwepo baina yenu na Serikali”

Mchengerwa amesema, Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inatambua mchango wa kila Mtanzania katika ujenzi wa Taifa, wakiwemo Madereva bodaboda, Madereva bajaji, Mama lishe na wengineo hivyo haiko tayari kuona yeyote akisumbuliwa au kunyanyasika.

Mchengerwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya Nchini kuwa na utaratibu wa kukutana na vikundi vya bodaboda mara kwa kwa mara kwa lengo la kutatua kero na changamoto zinazowakabili, ambazo ndio chanzo cha kufarakana na kuibua migogoro.
Hao wanatumika kama Condom, na ni moja ya wajinga wa nchi hii
 
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya nchini kuacha mara moja kamatakamata ya bodaboda isiyo na tija akisema Maaafisa usafirishaji (bodaboda) na Maafisa wa Serikali wanapaswa kufanya kazi kwa ushirikiano katika Mikoa na Wilaya ili kwa pamoja washiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa.

Mchengerwa ametoa maelekezo hayo akiwa Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijiji Dar es Salam wakati akizindua sare maalum (uniform) na mfumo wa kidijitali (kanzidata) wa Madereva bodaboda na Bajaji wa Jiji la Dar es salaam.

“Kuanzia sasa sitaki kusikia kamata kamata ya hovyo, inayotokana na wakati fulani kuwepo na sintofahamu baina yenu na Maafisa wa Serikali, mchango wenu ni mkubwa sana hivyo Serikali ya Chama cha Mapinduzi inawathamini sana ninyi Maafisa usafirishaji wa bodaboda na bajaji, na ndio maana ninataka kuona ushirikiano mzuri unakuwepo baina yenu na Serikali”

Mchengerwa amesema, Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inatambua mchango wa kila Mtanzania katika ujenzi wa Taifa, wakiwemo Madereva bodaboda, Madereva bajaji, Mama lishe na wengineo hivyo haiko tayari kuona yeyote akisumbuliwa au kunyanyasika.

Mchengerwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya Nchini kuwa na utaratibu wa kukutana na vikundi vya bodaboda mara kwa kwa mara kwa lengo la kutatua kero na changamoto zinazowakabili, ambazo ndio chanzo cha kufarakana na kuibua migogoro.
Ni hela za dp world au ni hela za sukari??
Yatajulikama tu
 
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa jana alikuwepo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijiji Dar es Salam wakati akizindua sare maalum (uniform) na mfumo wa kidijitali (kanzidata) wa Madereva bodaboda na Bajaji wa Jiji la Dar es salaam.


Sare hizi zina picha ya Rais Samia kama zinavyooneka hapo, lakini pia Mchengerwa alitoa maagizo kwa madereva wa bodaboda kuacha kusumbuliwa kwakuwa wanashiriki vizuri kwenye shughuli za ujenzi wa taifa.

“Kuanzia sasa sitaki kusikia kamata kamata ya hovyo, inayotokana na wakati fulani kuwepo na sintofahamu baina yenu na Maafisa wa Serikali, mchango wenu ni mkubwa sana hivyo Serikali ya Chama cha Mapinduzi inawathamini sana ninyi Maafisa usafirishaji wa bodaboda na bajaji, na ndio maana ninataka kuona ushirikiano mzuri unakuwepo baina yenu na Serikali"

Wakuu tunajua bodaboda ndio wanaongoza kwa uvunjifu wa sheria barabarani, na wengi hawana leseni, mtu anajifunzia zake mtaani siku mbili tatu huyo mtaani, kwa agizo hili hatuoni kama ni uvunjifu wa sheria utazidi kuongezeka?

Kwanini sare hizo zimewekwa picha ya Rais? Ukijumlisha na agizo la Mchengerwa si ni kampeni hiyo kabisa ya waziwazi, kila kitu mama atenda, tuanze kuuliza kama yule Mchungaji alivyosema, kama vyote amefanya Rais, nyie Wabunge na Mawaziri mnafanya kazi gani?

====

Pia soma: Mchengerwa: Wakuu wa Mikoa wote simamieni mfumo wa Kidijitali wa kuwatambua Madereva Bodaboda na Bajaji
Huu ni wakati wa kampeni za CCM ni kosa kwa askari wa usalama barabarani kuwagombanisha madereva wa bodaboda na mama Samia, uvunjifu wa sheria si uvunjifu wa amani.
 
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa jana alikuwepo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijiji Dar es Salam wakati akizindua sare maalum (uniform) na mfumo wa kidijitali (kanzidata) wa Madereva bodaboda na Bajaji wa Jiji la Dar es salaam.


Sare hizi zina picha ya Rais Samia kama zinavyooneka hapo, lakini pia Mchengerwa alitoa maagizo kwa madereva wa bodaboda kuacha kusumbuliwa kwakuwa wanashiriki vizuri kwenye shughuli za ujenzi wa taifa.

“Kuanzia sasa sitaki kusikia kamata kamata ya hovyo, inayotokana na wakati fulani kuwepo na sintofahamu baina yenu na Maafisa wa Serikali, mchango wenu ni mkubwa sana hivyo Serikali ya Chama cha Mapinduzi inawathamini sana ninyi Maafisa usafirishaji wa bodaboda na bajaji, na ndio maana ninataka kuona ushirikiano mzuri unakuwepo baina yenu na Serikali"

Wakuu tunajua bodaboda ndio wanaongoza kwa uvunjifu wa sheria barabarani, na wengi hawana leseni, mtu anajifunzia zake mtaani siku mbili tatu huyo mtaani, kwa agizo hili hatuoni kama ni uvunjifu wa sheria utazidi kuongezeka?

Kwanini sare hizo zimewekwa picha ya Rais? Ukijumlisha na agizo la Mchengerwa si ni kampeni hiyo kabisa ya waziwazi, kila kitu mama atenda, tuanze kuuliza kama yule Mchungaji alivyosema, kama vyote amefanya Rais, nyie Wabunge na Mawaziri mnafanya kazi gani?

====

Pia soma: Mchengerwa: Wakuu wa Mikoa wote simamieni mfumo wa Kidijitali wa kuwatambua Madereva Bodaboda na Bajaji
Nchi ya kijinga muda wote ipo kwenye kampeni
 
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa jana alikuwepo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijiji Dar es Salam wakati akizindua sare maalum (uniform) na mfumo wa kidijitali (kanzidata) wa Madereva bodaboda na Bajaji wa Jiji la Dar es salaam.


Sare hizi zina picha ya Rais Samia kama zinavyooneka hapo, lakini pia Mchengerwa alitoa maagizo kwa madereva wa bodaboda kuacha kusumbuliwa kwakuwa wanashiriki vizuri kwenye shughuli za ujenzi wa taifa.

“Kuanzia sasa sitaki kusikia kamata kamata ya hovyo, inayotokana na wakati fulani kuwepo na sintofahamu baina yenu na Maafisa wa Serikali, mchango wenu ni mkubwa sana hivyo Serikali ya Chama cha Mapinduzi inawathamini sana ninyi Maafisa usafirishaji wa bodaboda na bajaji, na ndio maana ninataka kuona ushirikiano mzuri unakuwepo baina yenu na Serikali"

Wakuu tunajua bodaboda ndio wanaongoza kwa uvunjifu wa sheria barabarani, na wengi hawana leseni, mtu anajifunzia zake mtaani siku mbili tatu huyo mtaani, kwa agizo hili hatuoni kama ni uvunjifu wa sheria utazidi kuongezeka?

Kwanini sare hizo zimewekwa picha ya Rais? Ukijumlisha na agizo la Mchengerwa si ni kampeni hiyo kabisa ya waziwazi, kila kitu mama atenda, tuanze kuuliza kama yule Mchungaji alivyosema, kama vyote amefanya Rais, nyie Wabunge na Mawaziri mnafanya kazi gani?

====

Pia soma: Mchengerwa: Wakuu wa Mikoa wote simamieni mfumo wa Kidijitali wa kuwatambua Madereva Bodaboda na Bajaji
sheria ipi itakayovunjwa?

hiyo jacket haimpi nguvu afisa usafirishaji yoyote kuvunja sheria...

kwamfano asipo zingatia Sheria za uslama barabarani, kwenye mataa anakatiza tu bila utaratibu atakae pata hasara ni nani sasa?

kua recognize mahali Fulani ni hatua muhimu zaid ya kujizatiti kufuata sheria kwa umakini zaid kuepuka kumvunjia heshima alie kurecognize....

so,
mi nadhani kwa hatua hii,
patakua na utiifu wa Sheria Zaid ya wakati mwingime wowote kwa hao maafisa usafirishaji waliotambuliwa na viongozi husika 🐒
 
Back
Top Bottom