Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini Serikali inalazimisha Wanafunzi wavae Sare za Shule ambazo zinauzwa na huku ikijua wazi kwamba Wananchi wake wengi hawana hata pesa ya kununua Chakula, sembuse ya kununua nguo za Shule?
Kwa nini Serikali iseme Mtoto aende Shule na vazi lolote hata kama ni kanga lkn Bora apate Elimu ambao baadae itamkomboa?
Watotto wengi huko vijijini wanakosa Elimu kwa kuwa hawana Sare za shule, hawaruhusiwi kwenda Shule bila Viatu hivyo wanabaki Nyumbani, sasa Serikali haioni kama inakwamisha Maendeleo yao?
Kwa nini Serikali iseme Mtoto aende Shule na vazi lolote hata kama ni kanga lkn Bora apate Elimu ambao baadae itamkomboa?
Watotto wengi huko vijijini wanakosa Elimu kwa kuwa hawana Sare za shule, hawaruhusiwi kwenda Shule bila Viatu hivyo wanabaki Nyumbani, sasa Serikali haioni kama inakwamisha Maendeleo yao?